Nape Moses Nnauye afunga ndoa

Hongera mh.Nape bado Mh Zitto nae ameremete tumuone maana nyie na wengine ndio kati ya wanasiasa vijana mnaochiwa nchi hii mjifunze kuwa na majukumu ya kifamilia uongozi bora huanzia ngazi ya familia.
 
Asalamaleko walaah!ama mkweli siasa ni unafiki mtupu,ingawa wengine watadai hakuna adui wa kudumu ktk siasa.Huyu mzee Makamba si aliwatangazia Watanganyika kuwa Nape kafungiwa yote duniani na mbinguni?
 
Asalamaleko walaah!ama mkweli siasa ni unafiki mtupu,ingawa wengine watadai hakuna adui wa kudumu ktk siasa.Huyu mzee Makamba si aliwatangazia Watanganyika kuwa Nape kafungiwa yote duniani na mbinguni?
Umenikumbusha Mzee Makamba alisema Nape si mtoto wa Moses,Nape akamjibu alikua anaishi kwa Makamba kama mtoto wa nani#sababu mradi uliokua unajengwa makao makuu umoja wa vijana
 
Jamani ni mimi tu au na nyie pia? Niondoleeni utata. Picha ya kwanza namuona nape na binti mwenye shera (bibi hatusi), picha ya tatu namuona nape na binti yuleyule. Au macho yangu yana makengeza jamani?
 
Hizi picha ni za kutengeneza au Nape ameoa wanawake wawili tofauti? Ninayemjua si huyu.
 





Mr. and Mrs. Makamba




Kaka yake Nape; Abeid Nnauye akiwa na Mrembo wake...

Mkuu nng007 sija kusoma, Nape hii ni lini? Maana mi nafahamu Nape alimuoa Mtoto wa Brigedia Hemed ambaye ni Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM huko Kwao sasa hivi, au wali divorce? Kwani kwa kikristo divorce ipo? Man ndio yao ilikuwa ya kikristo.

Swali la kizushi mbona hapa Nape kwenye suti mwenye nywele anafanana sana na Mzee Makamba au ni macho yangu tu yananidanganya?
 
Waache uwongo....hiyo picha ya juu kabisa ya Nape akiwa ameshikana na bi harusi wake.....inaonyesha Nape wa zamani...., mwembamba, hana maneno, mpole kabisa...na kafubaa, ni picha ya zamani kabisa ya Nape.

Hii ya chini...ni picha ya Nape huyo huyo...ila kipindi hiki akiwa amealikwa na mke wake (aliyefunga ndoa naye katk picha ya kwanza)....! Kumbe basi, hata ukimwangalia mkewe.....kwnye picha wakitoka kanisani, na huyu aliyekaa naye, ni mtu yule yule ila nyakati tofauti!

Kwahiyo...., kwa picha hizi....Nape alifunga harusi yake zamani, na picha ya pili Nape ni mwalikwa akiwa na mkewe yule yule!

Sasa sijui uliyetupia hizi mambo unataka kukusudia nini!?
 
Mods hii mada imetokeza zaidi ya mara moja ziunganishe. Nadhani Nape kaoa mke wa pili, pole yake kwa Brigedia Hemed naona ilimshinda, kafanya kwa pupa mapenzi ukioa Mmakonde mapenzi kimakonde konde, ukioa Mkurya mapenzi kikurya kurya, ukioa msomali mapenzi kisomali Somali na ukioa mwaarabu mapenzi kiarabu arabumna hata ukioa mpemba mapenzi kipemba Pemba. Ukifungua mlango wa kuacha ndio hivyo hii ni laana kwake.
 
Mbona mwanamke aliyevaa shela ndiye yule yule aliyekaa chini na Nape tena kwenye harusi hiyo hiyo?
What is this?Ina maana baadae mwanamke huyo huyo akaenda vua shela then akajumuika na wageni waalikwa ukumbini?
Au siku ya kufungwa harusi hii ya Nape na siku ya kwenda ukumbini zilikuwa tofauti?
Unatuchanganya zaidi;huyo uliyemuita kama kaka yake Nape ndiye Nape mwenyewe mbona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…