Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha Mzee Makamba alisema Nape si mtoto wa Moses,Nape akamjibu alikua anaishi kwa Makamba kama mtoto wa nani#sababu mradi uliokua unajengwa makao makuu umoja wa vijanaAsalamaleko walaah!ama mkweli siasa ni unafiki mtupu,ingawa wengine watadai hakuna adui wa kudumu ktk siasa.Huyu mzee Makamba si aliwatangazia Watanganyika kuwa Nape kafungiwa yote duniani na mbinguni?![]()
![]()
![]()
Mr. and Mrs. Makamba
![]()
Kaka yake Nape; Abeid Nnauye akiwa na Mrembo wake...
Hujasoma waraka wa Kakobe???mbona nape kanuna au anaona aibu bibi harusi yupo kama huwa anapiga chuma nape atakoma kwa ubaunsa wa wife
mwanamke sio sura bali tabia
Hahahaa.........unataka nile BAN?
kama slaa
Nilitegemea atavaa suti ya kijani au ya njano
![]()
![]()
Mr. and Mrs. Makamba
![]()
Kaka yake Nape; Abeid Nnauye akiwa na Mrembo wake...
Hivyo eeh.............Hii picha mbona kama sio yeye, wamebandika tu kichwa chake.