Pia bei za data ni kubwa mnoo ni kama kukomoanaTumelalamka wizi wa mitandao ya simu especialy kuhusu internt data. hakuna hatua wanayochukuliwa kurekebisha wizi huu. Unaweka data , muda mwingine bila kuitumia unakuta imeisha. Ukiwapigia simu customers care nobody responds.
Nape unafanya nini ofisini?
router zipi sasa za kuweka line aU za mitandao..?Nunueni Routers muweke ndani, ni ushauri tu
Kuna wakati namkumbuka mwenda zake japo haisadii kituKwakweli kama ni kitupiga wanatubabua kwelikweli.
kuna jamaa angu yupo ndan kabsaa jikon, kwenye moja ya hii mitandao nsikia analambishwa ndefuu kila mwez ivo tusitegemee kabsa bando kushukaaa
Nunueni Routers muweke ndani, ni ushauri tu
wapishi ni wengi sana ukiona hvo 😂😂Story za vijiweni. Kila mtu ana mtu wake jikoni
una hoja ww wakuzingatie sanaRouters zinatumia internet of which provider? Ukitoka nje ya nyumba hutaki internet? Mawazo mgando.