Nape mbona unatumia akili ndogo sana ! mlipokuwa mnaahidi Tz ya viwanda mlijua viwanda mtaviendesha kwa nguvu ya soda? kwani huko mnakoandaa ilani yenu huwa hamna strategies za kutimiza ilani hizo ? kama huwa mnazo hizo strategies za kutimiza ilani yenu, huwezi kuikwepa hii ya stieglers gorge ili kutimiza hiyo ahadi yenu ya TANZANIA ya viwanda inawezekana.
Kwa suala la maendeleo ya TZ weka pempeni tofauti zako na mteuzi wako,tunataka nchi isonge mbele doesn't matter who concerned kuleta maendeleo, huu mradi usipofanyika msitegemee kufanikisha hiyo ilani yenu ya tanzania ya viwanda.
Tunataka uhuru wa kiuchumi ,nishati ya umeme ina mchango mkubwa sana ktk kufanikisha hilo, nape acha kuwa kigeu geu,kama unaona mkuu wako kakurupuka huku kwenye stieglers gorge basi team nzima ya kIJANI mlikurupuka maana hamkujua namna ya kufikia lengo lenu. Naunga mkono maendeleo ya TZ yangu