Nape: Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge haupo kwenye ilani, sie tulinadi mradi wa gesi. Huu tumedandia tu

Nape: Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge haupo kwenye ilani, sie tulinadi mradi wa gesi. Huu tumedandia tu

Ccm hawapendagi kuambiwa ukweli na hapa kaongea wa kijani mwenzao
 
Dikteta ni yule ambae amebadili katiba ya Chadema na kufanya nafasi ya mwenyekiti wa chama haina ukomo wa uongozi. Dikteta niyule ambae pesa za ruzuku za chadema anajilipa madeni ambayo hayaeleweki na hayana mwisho.Dikteta ni yule nafasi za Viti maalumu anazigawa kwa rushwa ya ngono.
Tumechoka na zilipendwa hizo! Nyimbo zilizochuja unatuwekea hapa? Nenda nawe ukaliwe upewe viti maalumu!
 
kama vyote vitasaidia kupunguza tatizo la umeme sioni tatizo.
Vp kuhusu ajira, mapato ya serikali yatayotokana na gesi, fedha za kigeni n.k. vp uwekezaji ambao utagarimu zaidi ya trillioni sitini (mara mbili ya bajeti ya Tanzania) zikiingia kwenye mzunguko. Fikiri nje ya box.....
 
Magufuli Fires Nape and Will Replace Him With Paul Makonda
 
Na moja ya maamuzi mabovu kabisa ya JPM ni kutotoa kipaumbele kwenye sekta ya gas.

Gas ni uchumi

Gas ni viwanda

Gas ni ajira

Gas ni bakora ya siasa za kimataifa....

Too much energy in minerals but madini means nothing but only money!
MKUU usimlaumu JPM kuhamia kwenye UMEME wa MAJI na kuachana na gas, Kule kwenye gas jk alishahalibu na mikataba ya hovyo iliyosainiwa mwishoni pale, huko hakugusiki tena.
 
mhh!! kuna kitu hakiko sawa ndani ya chama chao, nape aweza kuwa anawakilisha kundi kubwa ndani ya chama.
 
MKUU usimlaumu JPM kuhamia kwenye UMEME wa MAJI na kuachana na gas, Kule kwenye gas jk alishahalibu na mikataba ya hovyo iliyosainiwa mwishoni pale, huko hakugusiki tena.
Acha kupotosha....
 
[HASHTAG]#KutokaBungeni[/HASHTAG]: Waziri wa zamani na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameishangaa Serikali kuweka nguvu nyingi kwenye mradi wa umeme wa Stigler’s George ambao haupo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 na kuachana na umeme wa gesi ambao waliunadi wakati wa kampeni.
 
Ili ilani ya Chama iendelee kutekelezwa vizuri ina bidi Nape apewe Uwaziri maana hakuna namna nyingine
 
[HASHTAG]#KutokaBungeni[/HASHTAG]: Waziri wa zamani na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameishangaa Serikali kuweka nguvu nyingi kwenye mradi wa umeme wa Stigler’s George ambao haupo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 na kuachana na umeme wa gesi ambao waliunadi wakati wa kampeni.
Kwa hiyo Nape anamaanisha 100Mil za Mzee Ngoma, Hela ya kununulia Bombadier, Hostel za UD, na mengineyo yalikuwepo kwenye ilani ya CCM??
 
Kunatofauti sana MTU anaposema serikali ya wananchi,serikali ya ccm na anaposema serikali ya magufuli!! Nsfkiri nape angeanza kushangaa mabao ya mkono,ashangae kulizima binge,ashangae ya kina lissu,ashangae alivyotaka kushutiwa alafu hili la umeme nadhani halitomshangaza
 
Kwani kuhamia Dom ipo kwenye ilani, Nape anazidi wehuka.
Hii la hiyo stigler ilikuwa planned since Nyerere era, likewise kuhamia Dom.
Bora lakini kaonyesha his real colors

..kama miradi hiyo iko tangu wakati wa Nyerere kwanini hamkuiweka kwenye ilani.

..kuhamia Dodoma sasa hivi ni kulitia taifa hasara.

..zoezi hilo ni la gharama kubwa mno. Fedha tunazopoteza huko zingeweza kuelekezwa kwenye sekta za uzalishaji kama kilimo, ufugaji, uvuvi, viwanda, etc.

..Stieglers gorge ni mradi ambao unaweza kutuletea athari mbaya za mazingira.

..Majibu anayotoa Raisi ati kutajengwa bwana la maji kwa ajili ya wanyama siyo ya kisomi, na sicho ambacho wataalamu wa mazingira wamekuwa wakitahadharisha.
 
Huyu jamaa vipi mbona anajaribu kupingana na juhudi za mwenyekiti.Subiri mwenyekiti apate hasira 2020 bungeni atapasikia hahaaha!
 
Back
Top Bottom