Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Shetani hajawahi kuwa binadamu mpaka hapo anakucheka sanaMbona akisifiwa hamlalamiki ?? ila mkubali mkatae magufuri wenu alikuwa shetani, simtetei Nape lkn yule mtu matendo yake hayakuwa ya kitanzania, roho yake ilikuwa ya kikagame kagame na mseven mseven...
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Yeye amesema alienda kufanya uchunguzi 🤷🏻♀️ Hatujamlisha maneno, amesema mwenyewe. Swali: Toka lini waziri anafanya uchunguzi?Basi Nape alienda kukagua uharibu uliofanywa Clouds, kitulize.
Mwanasiasa wa hovyo kuwahi kuzaliwa kusiniNape anajiona CCM kama nyumba ya urithi
😅😅😅😅😅Nape ni Afisa habari wa makampuni ya simu
Ukiongea kitu ambacho huweiz kukithibitisha kwa namna yoyote ile hiyo ni kama porojo tu kuwafurahisha baadhi ya watuNape anaongea ukweli kadri anavoujua.
Lakini kiukweli jamaa hapendezwi na kushuka kwa bei za bando!
WaMarekani wenyewe wanashangaa, mbona mabando ghali bila sababu za msingi?
Mimi naonage jamaa anabonge la kichwa au video ndo huw zinanichanganyaNape ni hewa tu kama hewa zingine, bila connection ungekuta ni dereva boda2 fulani huko kwao!.
Rekodi ya Matusi ya Nape kwa Lowassa haitavunjwa mileleBaba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)
In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.
Hovyoooooo......!!!!!!
Nape ni mnafki wa kimataifa.hivi kilichompeleka Ikulu kuomba msamaha ni nini?
1. Huyo waziri kachanganyikiwa yaani mwanasiasa anaenda kumchunguza mtu mwenye nafasi sawa na ya kwake? 2. Amekuwa polisi achunguze? Nani alimtuma achunguze?Yeye amesema alienda kufanya uchunguzi 🤷🏻♀️ Hatujamlisha maneno, amesema mwenyewe. Swali: Toka lini waziri anafanya uchunguzi?
Idiot.Mbona akisifiwa hamlalamiki ?? ila mkubali mkatae magufuri wenu alikuwa shetani, simtetei Nape lkn yule mtu matendo yake hayakuwa ya kitanzania, roho yake ilikuwa ya kikagame kagame na mseven mseven...
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Kumbe ndivyo walivyoWatu wa kusini ni wanafiki,wachawi na wafitini sana!
Kwaiyo msimshangae Nape,ndivyo walivyo.
Mbona unasahau haraka. Au tatizo lugha??Ukiongea kitu ambacho huweiz kukithibitisha kwa namna yoyote ile hiyo ni kama porojo tu kuwafurahisha baadhi ya watu
Hadi Rai's anaokota vichwa hewa vya treni. johnthebaptist asijisahaulishe kiaina. Alikufanya Nape mbona cha mtoto?!Vipi kuhusu Rais kwenda bandarini au Airport kufanya uchunguzi? Uliwahi kusikia popote duniani??
Nape ni aina ya mwanasiasa ambaye mimi binafsi hunivutia mara chache sana; akiwa na madaraka hujisahau kirahisi na kuwa jeuri. Akiwa nje ya madaraka hujitambua na kuwa mnyenyekevu. Pamoja na huo udhaifu kwa hili analolalamikiwa kuwa anamsema vibaya marehemu namuelewa; anayo sababu ya kutosha kufanya hivyo. Anayesemwa na Nape pamoja na raia wengine wengi siyo marehemu wa kawaida tu; huyu ni marehemu aliyeaminiwa na kukabidhiwa mamlaka ya umma. Nape alindwe na aachwe atumie uhuru wake kwa kuyasema yote ambayo hakuyapenda; wenye mazuri ya kuyasema nao wafanye hivyo hivyo! Hii ndiyo njia pekee ya yeye Nape kujifaraji nafsi yake na kujipunguzia machungu ya ule udhalilishaji wa kutembezwa kwa miguu mbele ya kamera kwenda mbele ya "mtukufu" kufanya toba na kuomba msahamaha wa dhambi.Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)
In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.
Hovyoooooo......!!!!!!