Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Januari unajua kujishebedua kwelikweliNdio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Nape na ubovu wake yupo pale paleNdio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Kuna watu wanajiona kuwa viongozi ni haki yao,wasipoteuliwa wanamuona mteuzi mbayaCCM kuna makundi mawili ya wazi kabisa, siku hizi ni mashindano kila siku, leo yupo Hangaya anawabeba vijana wake mnachekelea, kesho atakuja mwingine atawabeba tena kina Makonda, biashara kichaa inaendelea.
Sasa mmeigeuza hii nchi na uongozi wa umma kama haki yenu, mnatamba kwasababu wengine tumeamua kuitwa wapiga kura tusioheshimiwa hizo kura zetu, iko siku tukiamka tutawakumbusha cheo cha umma sio uwanja wa vijembe kati yenu, ni dhamana isiyo na mwenyewe.
ccm ni laana kwa Taifa!CCM kuna makundi mawili ya wazi kabisa, siku hizi ni mashindano kila siku, leo yupo Hangaya anawabeba vijana wake mnachekelea, kesho atakuja mwingine atawabeba tena kina Makonda, biashara kichaa inaendelea.
Sasa mmeigeuza hii nchi na uongozi wa umma kama haki yenu, mnatamba kwasababu wengine tumeamua kuitwa wapiga kura tusioheshimiwa hizo kura zetu.
Iko siku tukiamka tutawakumbusha cheo cha umma sio uwanja wa vijembe kati yenu, ni dhamana isiyo na mwenyewe, nyie wapuuzi hamna haki yoyote juu ya raia wengine wa kawaida wa hii nchi.
Hii tabia ndio inayoleta uharibifu, na inazaa ubadhirifu wa mali za umma, kwasababu wanajiona wako huru kufanya watakacho wakijua watalindwa na mtawala, wao kazi yao inabaki kumpamba tu kwa kila nyimbo.Kuna watu wanajiona kuwa viongozi ni haki yao,wasipoteuliwa wanamuona mteuzi mbaya
Yaani mpaka useme.....badoo hujasemaCCM kuna makundi mawili ya wazi kabisa, siku hizi ni mashindano kila siku, leo yupo Hangaya anawabeba vijana wake mnachekelea, kesho atakuja mwingine atawabeba tena kina Makonda, biashara kichaa inaendelea.
Sasa mmeigeuza hii nchi na uongozi wa umma kama haki yenu, mnatamba kwasababu wengine tumeamua kuitwa wapiga kura tusioheshimiwa hata hizo kura zetu, bado tupo tunawaangalia tu.
Iko siku tukiamka tutawakumbusha cheo cha umma sio uwanja wa vijembe kati yenu, ni dhamana isiyo na mwenyewe, nyie wapuuzi hamna haki yoyote juu ya raia wengine wa kawaida wa hii nchi.
Lisivyo na haya linaweza kuzidai hivyo hivyo na ukuu wa mkoa wake🤣🤣.Jamaa kaondoka kabla hata mawaziri walikua hawajamkabidhi ripoti zao
Atakwenda Airport kumpokea Naibu Waziri Mkuu,Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na Rais mwenyewe pamoja na viongozi wa juu wa chama.Ndio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Kiongozi wa wakuu wa mikoa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lisivyo na haya linaweza kuzidai hivyo hivyo na ukuu wa mkoa wake🤣🤣.
Huwa hataki kuonekana mnyonge. Atajiteua kuwa Mkuu wa Mkoa Kiongozi wa wengine.
Ukuu wa mkoa wa Dar alikua kama makamu wa rais,,,,jamaa haijalishi ni cheo gani popote analianzisha.......na hapo alipowekwa patamu tu labda wangemtupa huko SimiyuUzuri wa Li Makonda halina show ndogo. Litafanya huo ukuu wa mkoa uwe kama vile ni uraisi kwa mbwembwe atakazoleta.
Jamaa ni zee la kiki tu.
Jamaa hata akipewa ujumbe wa nyumba 10 atahakikisha anasikika yeye tu.Ukuu wa mkoa wa Dar alikua kama makamu wa rais,,,,jamaa haijalishi ni cheo gani popote analianzisha.......na hapo alipowekwa patamu tu labda wangemtupa huko Simiyu
January hahusik na masuala ya ndani ya nchi. Kama ataenda Arusha basi ni kwenye mikutano na si ziara.Ndio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January