Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushushwa Cheo?Kisiasa ni jambo la kawaida
Michepuko ya Makonda itakusuta... Subiri uoneNdio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Hao unaowataja hata hawana lolote pasipo kubebwa na mfumo dhalimu,,,,hawana performance na credibility ya kutajwa mbele ya watu wenye hakili....Ndio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Uzuri ni kwamba wapinzani ajenda zenu ziko CCM halafu wanaoshinda ni CCM!Ndio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Anaupokea Mwenge itakuwa Waziri!.Atakwenda Airport kumpokea Naibu Waziri Mkuu,Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na Rais mwenyewe pamoja na viongozi wa juu wa chama.
Wengine atawasubiri ofisini tu sio lazima kuwaokea na wala sio lazima kuongozana nao kwenye ziara za kikazi.
Ndiyo Mambo Yalivyo TanzaniaJamaa kaondoka kabla hata mawaziri walikua hawajamkabidhi ripoti zao
Mwenge unapewa hadhi ya Rais ndio maana mbele ya Mwenge husomwa risala ya utii kwa Rais wa JMT.Anaupokea Mwenge itakuwa Waziri!.
Ndio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Vitu vingine vinachekesha sanaNdio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Return of the Undertaker