Nape na Makamba mjue kujaribu kumshusha thamani Hayati Magufuli, ni sawa na kumfuata mamba kwenye kina kirefu cha maji

Nape na Makamba mjue kujaribu kumshusha thamani Hayati Magufuli, ni sawa na kumfuata mamba kwenye kina kirefu cha maji

ila nakumbuka ile humiliation ya nape alipotembea kwa mguu kwenda ikulu kuomba msamaha baada ya kusemelewa na bashite, alitia huruma hata ningekuwa mimi nisingesahau lazima nigebaki na donge moyoni. alitembea kwa mguu afu sijui kama alivaa ndala vile.
 
Na huko jehenamu liteswe mpk lifariki tena
Niliwahi msikia shehe mmoja akisema adhabu kwa wale ambao walitenda mabaya na kwenda kinyume na dini basi adhabu yao huanzia kaburini ambako unateswa mpaka ile siku ya hukumu ndiyo sasa unapelekwa motoni, aisee yale mahubiri yalikuwa yanatisha kinomaa.
 
Niliwahi msikia shehe mmoja akisema adhabu kwa wale ambao walitenda mabaya na kwenda kinyume na dini basi adhabu yao huanzia kaburini ambako unateswa mpaka ile siku ya hukumu ndiyo sasa unapelekwa motoni, aisee yale mahubiri yalikuwa yanatisha kinomaa.
dini haimfikishi mtu paradiso, ila wokovu kwa njia ya Yesu Kristo pekee ndio vitamuokoa mwanadamu na mateso ya milele. msidanganywe na hao wanaowahubiria mambo yasiyo na uhakika.
 
Kwahiyo kinga ya hizo pesa kuchunguzwa ni kwa kuwa kuna viongozi wa juu walishiriki ama nini? Kwani hawa viongozi wa juu hivi sasa wana utakatifu gani mpaka kusifanyike ukaguzi? Viongozi ambao wako madarakani kwa wizi wa kura wana sifa gani ya kukepwa fedha zilizokopwa kuchunguzwa? Kama unaowaona wana hadhi hiyo ni ww, maana ulifaidika na matumizi mabovu ya mikopo ile, hivyo unajua ukaguzi ukifanyika ukweli utafahamika na sifa zote za kijinga zitakoma.
Alichosema, taarifa zinadaiwa/takiwa ili kuthibitisha matumizi mabaya/wizi zitatoka kwa wahusika walewale waliyokuwa na Magufuli. Je, watatoa taarifa za kujiwekea pingu...Makamu wa Raisi wa sasa na wa Magufuli (Raisi), Waziri Mkuu, n.k.
 
dini haimfikishi mtu paradiso, ila wokovu kwa njia ya Yesu Kristo pekee ndio vitamuokoa mwanadamu na mateso ya milele. msidanganywe na hao wanaowahubiria mambo yasiyo na uhakika.
Kila mtu na imani yake kwa hiyo baki na imani yako na tusipangiane kwa sababu kila mtu ana akili zake, ukweli tutaujua siku ya hukumu.
 
lakini kuna i
Kila mtu na imani yake kwa hiyo baki na imani yako na tusipangiane kwa sababu kila mtu ana akili zake, ukweli tutaujua siku ya hukumu.
lakini kuna imani potofu zinazopeleka watu motoni, na imani za kweli pia. Imani ya Kweli ni wokovu kwa Njia ya Yesu Kristo tu. nje ya hapo lazima uende motoni.
 
Kama mnampenda sana huyo dikteta si mfanye maombi mfululizo mpaka afufuke? He is gone for good. No matter how mtakavyojihangaisha, hatorudi. MTAPATA TABU SANA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawajaamini hao wanasema kuwa bado wanaendelea kumsubiri kuna siku atarudi.
 
Kimsing, kujadili watu kama Nape na Makamba ni kutumia muda wako vibaya; angalau Makamba ni waziri ambaye maamuzi yake yanatuhusu sote, huyu tunaweza kumjadili lakini siyo Nape. Tutaanza kumjadili Nape akipata uteuzi ambao anautafuta sana.
Wote ni wana ccm wenzako
 
Jini jiwe alikuwa mwongo, mzandiki na mfitini.

Alitudanganya kuhusu SGR kipande Cha Dar -Moro kuwa kingeanza mwezi August mwaka 2020 mpk leo zii

Alitudanganya kuwa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu za ndani lkn kumbe anakopa kama hana akili nzuri.

Alitudanganya kuhusu reli ya Dar -Moshi/Arusha mpk leo kimya.

Nina hakika hata hiyo kauli ya Kalemani ilikuwa fix tu
Naona unawatafuta wafia legacy wakutukane
 
Lumumba vipi angalia msitoane macho. Mliwahi peleka bundi bungeni,pia mliwahi kumwaga unga bungeni. Sasa mmeamua mtifuane tena? Kwani huo ukaguzi mnaogopa wa nini si Magufuli alikuwa safi? So acha ukaguzi ufanyike ili asafishwe.

Juu ya mradi wa bwawa Kalemani aliutangazia ulimwengu kuwa kabla ya saa 12 ya tarehe 15 Novemba 2021 bwawa litaanza kujazwa maji. Leo Januari anaibuka na yake mnataka tuwaeleweje? Nani mkweli na nani mwongo? CCM ndo hapo mlipotufikisha mazingaombwe tupu.
 
Waziri wa fedha ni Makamu wa Rais wa sasa. Duuuuuu....... Napeee?
Ukiondoa ukinyonga wa Nape.
Lkn kwa hilo nampongeza kwa kuthubutu angalau kulitamka kama mbunge wa chama tawala.

Maana wengine siku Nape anatamka hayo maneno walikuwa wanatetemeka kwa uoga.
 
Moja ya sifa za utawala Bora duniani Ni uwazi kwenye matumizi ya raslimali za Nchi.
Tatizo la watu kuomba taarifa ya matumizi wa fedha zao Ni lipi?
Au unadhani Kama Magufuli alikopa, Ni familia yake watalipa?

Kama alikopa na kutumia kwa mujibu wa taratibu na sheria, hofu ya kuomba ukaguzi inatoka wapi?

Tena nadhani ndio ingekuwa vizuri mikopo hiyo ikakaguliwa ili marehem awe cleared.
Tusianzishe upashkuna usiokuwa na sababu
Upo sahihi sana lkn sidhani kama wale wafia legacy watakuelewa.
 
Jini jiwe alikuwa mwongo, mzandiki na mfitini.

Alitudanganya kuhusu SGR kipande Cha Dar -Moro kuwa kingeanza mwezi August mwaka 2020 mpk leo zii

Alitudanganya kuwa tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu za ndani lkn kumbe anakopa kama hana akili nzuri.

Alitudanganya kuhusu reli ya Dar -Moshi/Arusha mpk leo kimya.

Nina hakika hata hiyo kauli ya Kalemani ilikuwa fix tu
Vipi jini Gaidi pale..?
 
Jizi la kura lina legacy gani? Tunashukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi dhalimu bila damu kumwagika.
Kwanini usimshukuru mungu wako ili aiondoe ccm inayokutesa kila siku?

Na vipi baada ya mungu wako kumuondoa dhalimu mko vizuri sasa ee?
 
Back
Top Bottom