Thaconfession
JF-Expert Member
- Jun 16, 2021
- 301
- 590
Kwani lini nchi hii haikuwa na mgao wa umeme?Kama vile unavyokaangwa na mgao wa maji na umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani lini nchi hii haikuwa na mgao wa umeme?Kama vile unavyokaangwa na mgao wa maji na umeme
Kwani lini nchi hii haikuwa na mgao wa umeme?
Hakuna mgao wa maji na umeme acha kupotosha.Kama vile unavyokaangwa na mgao wa maji na umeme
Hakuna mgao wa maji na umeme acha kupotosha.
Aisee kama ulikuwa akilini mwangu maana nami nilitaka kumjibu hivyooo hivyoooo
Kama mnampenda sana huyo dikteta si mfanye maombi mfululizo mpaka afufuke? He is gone for good. No matter how mtakavyojihangaisha, hatorudi. MTAPATA TABU SANA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gwenga kahimukaKama mnampenda sana huyo dikteta si mfanye maombi mfululizo mpaka afufuke? He is gone for good. No matter how mtakavyojihangaisha, hatorudi. MTAPATA TABU SANA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jiwe mjaa laana yule ameiharibu nchi. Huko aliko akaangwe na moto wa jehanamu
Wewe ni mpumbavu kwelikweli.
Magufuli alikuwa binadamu kama baba yako kule siongei tu.
Kuhoji matumizi ya pesa za serikali siyo kosa na halijawahi kuwa kosa popote pale duniani.
Hata chakubanga juzi wakati anaongea na wasafi aliongea ujinga kama huu.
Mnataka kuaminisha watu kwambakumkosoa yule CHIZI WENU aliyekufa KIBUDU ni kosa?
Shetwani wahedSawa shetani unaetoa hukumu huku tayari shetani wewe msafi utauona Ufalme wa Mbingu
Tutampata baada ya miaka 30 ijayoKwa umri huu. Atakaa tumwone Rais atakaye fanya mambo, kwa haraka kamajo JPM. Uwamzi wa haraka kisimamia kazi umizo pewa. Achia mbali kukandamiza wapinzani kulinda utawala wake. Hii na kwa kila mtu au chama kingine watafanya hivyo. Hata wakipewa NCCR-M Watafanya hivyo, au UDP,au ACT. Mbali ya chadema. Kufanya kazi alizozifanya JPM tutasubira sana. Kusimamia wizi kama John
Mmmu awe mcha Mungu kwelikweli. Seminary ya nguvu hasa. Kama JPM. Shule za ST kayumba na za kata. Awe mmsai, Asiwe m...h......Tutampata baada ya miaka 30 ijayo