Pre GE2025 Nape na Makamba walisamehewa na Magufuli na Ubunge wakapewa lakini alipokufa Wakaendelea kumsimanga marehemu, Exodus 14:14 imehusika sasa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katika Ulimwengu wa Roho hakunaga jambo Dogo

Waislamu husema Mtu akifa basi hunenwa Mema yake na yale mabaya huachiwa yeye mwenyewe na Mungu wa mbinguni

Uzi huu si kwa ajili ya hawa Watumbuliwa la hasha bali Wote wenye Tabia ya kuwanenea mabaya marehemu

Pia soma:

Wote tuseme " Mungu ameamua ugomvi"

Sasa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ataongoza kwa Amani kwa sababu Ndumilakuwili wamepungua kwenye cabinet yake

Heri Mchawi kuliko Mnafiki

RIP Shujaa Magufuli

Pia soma
Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
 
Kuwaondoa hao viwavi wawili pia ni mpango mkakakti wa Samia kutu win sisi watu wa kanda ya ziwa, lakini bila kupepesa macho tunamwambia hatudanganyiki.
 
magufuli alikuwa shetani, naona unamtetea kwa vile alikuwa rafiki yako akakupa cheo CCM ukawa top! au nakosea John?
 
Wewe Pia Acha Unafki,unaipenda CCM ila unasema ina wanafki,kwenye balaza la mawaziri,unamaanisha Chama chako hakijiwezi kufanya Veting kupata watu bora kwa Chama na kuwa mawaziri.
 
Unakosea sana hata Mpendwa Wetu Mh Rais Samia aliaminishwa hivyo kwamba Shujaa Magufuli alikuwa mtu mbaya

Lakini sasa ukweli ameujua 😃
magufuli aliua watu, uzuri uko wapi? Usifanye kosa la kuua. Sami ameshafanya kosa hilo! Sativa anampa
35, 000,000 halafu anasemakuna drama za kutekana! means anahusika katika watu waliotekwa wakafa/wakapotea kabisa mpaka leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…