Hana ushahidi wowote huyo shoga!Una ushahidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana ushahidi wowote huyo shoga!Una ushahidi?
wakiguswa kidogo tu wanaita viongozi majina mabaya hasa kuna wengine kipindi cha kikwete alivunja mabanda ya pembezoni mwa barabara na mali zikiwemo ni pesa nyingi sana nilipoteza ila sijawahi kumwita mzee wa watu shetani.Shetani ni mama yako aliyekuzaa ukaweza kuwa unawaita watu wazuri kama Hayati Magufuli majina mabaya eti kwa sababu tu alikudhibiti kwenye tabia yako mbaya ya kishoga na ufisadi.
Aende na yeye kwa yule tapeli wa kutoka DRC anayejiita kiboko ya wachawi akamtabiria hatima yake, maana majuzi Masha kaambiwa kuanzia mwezi September mwaka huu ataanza kuimbwa kwani mambo yake yatamnyookea sana.Nape akimuona Masha au Kawambwa moyo unamfanya pwaaaaaaah
hiyo ID yako ulikosea spelling sio Retired ulitakiwa uwe Retardedmagufuli aliua watu, uzuri uko wapi? Usifanye kosa la kuua. Sami ameshafanya kosa hilo! Sativa anampa
35, 000,000 halafu anasemakuna drama za kutekana! means anahusika katika watu waliotekwa wakafa/wakapotea kabisa mpaka leo!
Nitakujibu ngoja nijipe muda.hiyo ID yako ulikosea spelling sio Retired ulitakiwa uwe Retarded
Siku ana panda pale nilimuombea mabay sanapicha imegeuka
View attachment 3048620
Kama aliua watu ilikuwaje wewe ukabakia ndugu muuaji mwandamizi.magufuli aliua watu, uzuri uko wapi? Usifanye kosa la kuua. Sami ameshafanya kosa hilo! Sativa anampa
35, 000,000 halafu anasemakuna drama za kutekana! means anahusika katika watu waliotekwa wakafa/wakapotea kabisa mpaka leo!
Magufuli hakuwa anachagua viongozi kwa udilifu maana hata yeye hakuwa muadilifu, bali alichagua viongozi waliokuwa wanamsujudia, wa ukanda wake, ama wa dini yake. Hilo la uadilifu liondoe kabisa.MTU yeyote aliyetumbuliwaga na jembe kutoka chato alikuwa hafai.
JPM alikuwa miles ahead kipind hicho huyu bibi anashtuka miaka 5 mbele.
Magufuli alikuwa shetani kwenye umbile la ubinadamu. Hutaki jinyonge.Shetani ni mama yako aliyekuzaa ukaweza kuwa unawaita watu wazuri kama Hayati Magufuli majina mabaya eti kwa sababu tu alikudhibiti kwenye tabia yako mbaya ya kishoga na ufisadi.
Kanda ya ziwa ikpata uwanja wa ndege wa kimataifa pamoja na barabara njia 4 kuingia jiji atakuwa ame win sana.Kuwaondoa hao viwavi wawili pia ni mpango mkakakti wa Samia kutu win sisi watu wa kanda ya ziwa, lakini bila kupepesa macho tunamwambia hatudanganyiki.
Unajua binadamu ni wagumu kuelewa tu. Sisi tulimwambia mama tangu mwanzo kwamba hawa watu hawafai, lakini hakutusikiliza. Akaamua kuwakumbatia kwa sababu ya majina ya baba zao. Sasa ndio ameshituka na kuwatumbua baada ya kugundua ni hopeless 😔Magu hakuwa mjinga kuwatimua wew unawakumbatia
Bado hatujajua chanzo cha kifo cha baba yetu, baba wa taifa hili, tukimjua aliyehusika lazima tumle nyama walah, saiz hili taifa lingekuwa lipo uchumi wa katiKatika Ulimwengu wa Roho hakunaga jambo Dogo
Waislamu husema Mtu akifa basi hunenwa Mema yake na yale mabaya huachiwa yeye mwenyewe na Mungu wa mbinguni
Uzi huu si kwa ajili ya hawa Watumbuliwa la hasha bali Wote wenye Tabia ya kuwanenea mabaya marehemu
Wote tuseme " Mungu ameamua ugomvi"
Sasa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ataongoza kwa Amani kwa sababu Ndumilakuwili wamepungua kwenye cabinet yake
Heri Mchawi kuliko Mnafiki
RIP Shujaa Magufuli
Pia soma
- News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
magufuli alikuwa shetani,
magufuli alikuwa shetani,