Guardiola
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 406
- 936
magufuli alikuwa shetani,
Kwa akili hz ndio maana tunaitwa NYANI.
Bara la KIZA
Sawa mkuu naona now unaongozwa na malaika na unakula mema ya nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
magufuli alikuwa shetani,
MTU yeyote aliyetumbuliwaga na jembe kutoka chato alikuwa hafai.
JPM alikuwa miles ahead kipind hicho huyu bibi anashtuka miaka 5 mbele.
Unakosea sana hata Mpendwa Wetu Mh Rais Samia aliaminishwa hivyo kwamba Shujaa Magufuli alikuwa mtu mbaya
Lakini sasa ukweli ameujua
Walitenguliwa kipindi cha Magufuli na sasa wametenguliwa tena na aliyewateua mara nyingine !Katika Ulimwengu wa Roho hakunaga jambo Dogo
Waislamu husema Mtu akifa basi hunenwa Mema yake na yale mabaya huachiwa yeye mwenyewe na Mungu wa mbinguni
Uzi huu si kwa ajili ya hawa Watumbuliwa la hasha bali Wote wenye Tabia ya kuwanenea mabaya marehemu
Wote tuseme " Mungu ameamua ugomvi"
Sasa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ataongoza kwa Amani kwa sababu Ndumilakuwili wamepungua kwenye cabinet yake
Heri Mchawi kuliko Mnafiki
RIP Shujaa Magufuli
Pia soma
- News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Na huo ndio ukweli wenyewe !Yule Mzee macho ubongo wake vilikua ni zaidi ya Genius
Na huo ndio ukweli wenyewe !
Pamoja na mapungufu yake but he was more than Genius
Hivi kwa nini jpm alikuwa anapenda kujipa ukuu asiostahili? Mwenye uwezo wa kusamehe mtu ni Mungu tu. Kwa nini jpm alikuwa anaongoa nchi kama Mungu eti kimsema ni kosa na anauwezo wa kukusamehe au lal!Katika Ulimwengu wa Roho hakunaga jambo Dogo
Waislamu husema Mtu akifa basi hunenwa Mema yake na yale mabaya huachiwa yeye mwenyewe na Mungu wa mbinguni
Uzi huu si kwa ajili ya hawa Watumbuliwa la hasha bali Wote wenye Tabia ya kuwanenea mabaya marehemu
Wote tuseme " Mungu ameamua ugomvi"
Sasa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ataongoza kwa Amani kwa sababu Ndumilakuwili wamepungua kwenye cabinet yake
Heri Mchawi kuliko Mnafiki
RIP Shujaa Magufuli
Pia soma
- News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wanavaa ndimi mpya kwenda kumnanga bungeni sasaSasa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ataongoza kwa Amani kwa sababu Ndumilakuwili wamepungua kwenye cabinet yake
Wakizubaa Bungeni hawarudi.
Tunasubiri maoni ya Mzee Makamba.
Kama alivyojinyonga mama yako!Magufuli alikuwa shetani kwenye umbile la ubinadamu. Hutaki jinyonge.
Mbwehamagufuli alikuwa shetani, naona unamtetea kwa vile alikuwa rafiki yako akakupa cheo CCM ukawa top! au nakosea John?
Ubunge walipewa au walishinda?Katika Ulimwengu wa Roho hakunaga jambo Dogo
Waislamu husema Mtu akifa basi hunenwa Mema yake na yale mabaya huachiwa yeye mwenyewe na Mungu wa mbinguni
Uzi huu si kwa ajili ya hawa Watumbuliwa la hasha bali Wote wenye Tabia ya kuwanenea mabaya marehemu
Wote tuseme " Mungu ameamua ugomvi"
Sasa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ataongoza kwa Amani kwa sababu Ndumilakuwili wamepungua kwenye cabinet yake
Heri Mchawi kuliko Mnafiki
RIP Shujaa Magufuli
Pia soma
- News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Unafurahi mabaya ya Kada mwenzako?Kwa sasa Nape Ndio Ubunge kauweka Rehani
pambaneni na ufaisadi uliomo ndani ya ccm na serikali yake.Samia aliambiwa toka mwanzo kwamba hao watu sio wazuri, akaona labda watu wana roho mbaya na hao jamaa. Muda ni mwalimu mkuu, hatimae amejionea mwenyewe kwanba hawa ni vimeo.
Mbaya zaidi Makamba kamuambukiza ujinga Byabato ambae hakua na tabia za ajabu ajabu.
Makamba na Nape ni kama zigo la mavi, ukilibeba lazima mwishoni utanuka mavi tu.
Tulia we mfuasi wa dhalimu.Kama alivyojinyonga mama yako!
Ile anayo chafua Meza ipo wapipicha imegeuka
View attachment 3048620
Kwa hiyo Ole Sabaya ni kiongozi kwa kuwa alikubalika na Magufuli? Vipi Taletale na Mwigulu?Kama uliwahi kukataliwa na Magufuli basi tambua kbs haukuwahi kufaa kuwa kiongozi na kama ulibahatka kukubalika na JPM bas wewe ni kiongozi bora sana.