Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Hapa Jf mmoja wao ni jingalao
Nae ameanza kutaka ukaguzi pia ufanyike kwenye matumzi ya fedha za ziara ya Kinana na Nape.
Yaani ni full migambo wanaruka na kukanyagana!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huo ukaguzi uanzie awamu ya 3 ya mzee wa lupaso, had hii ya 6 ya bibi wa unguja, ili tujue ukweli wote hapa.

Sio awamu 1 tyuuh itakua madangi sasa, khaaaah
 
Mbona kama najua Jidula Mabambasi alishafariki? Samahani lakini yawezekana nina taarifa potofu
 
Back
Top Bottom