imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Amekuwa mwiba.haahaa..aisee!! Majizi lazima yamsakame.Hakika ila lile gang wanamsakama san asee 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekuwa mwiba.haahaa..aisee!! Majizi lazima yamsakame.Hakika ila lile gang wanamsakama san asee 😂😂
Professor huyo sio sawa na wale wa jalalaniKwa kweli uadilifu na ushujaa wa Prof Assad kuhoji kwa makusudi zilipo Trillioni 1.5 sasa ndio tunaona umuhimu wake.
Wa jalalani walianza kazi serikalini Awamu ya Tano.Professor huyo sio sawa na wale wa jalalani
Either ana maslahi binafsi ya kisiasa au hana, HOJA YAKE NI YA MSINGI.Hoja yake ni ya msingi? Tuanzie hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna waliofaidika na JPM kwa kula cha juu kikubwa!
Utawasikia wakienda kwa waganga ili kuzuia uchunguzi🙂[emoji1787][emoji1787]
Huu n uongo wa wazi kabisa, mamaa naye alikua ndani ya system.Mama hakua na Authority yyt na pengine hakujua awamu ya tano walimuona mama ana lolote yaani