Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Nape na ombi la CAG kukagua mikopo; kuna watu wamepanic!

Hivi wewe na akili yako ulimuona JPM anaweza kuficha hela hata Billion moja wewe? Azifiche wapi? Huelewi jinsi walivyokuwa wanamuwinda kumuumbua? Aipeleke benki ipi? Angalikuwa ni JK sema huyo ni mjanja tangu awamu ya pili na Barick yake.
Ogopa sana wema unaotendewa katika mazingira ambapo mtenda wema anazima taa kwanza.
 
Awamu ya nne ufisadi ulifanyika na kila mmoja ameuona.
Maana awamu hiyo serikali iliendesha mambo yake hadharani, ufisadi ulisemwa Bungeni, CAG amekagua, baadhi ya Mawaziri walipoteza kazi, magazeti yameandika na wananchi wamesikia.

Lakini ufisadi wa awamu ya tano hamtaki tiujue maana mtawala wa wakati huo mlimfananishwa na Masihi.
Hahahaaaaa hii thread ina nyundo za hatari
 
Chief hangaya nae anahusika kwa sababu alikuwa namba 2 ya awamu ya 5.

endeleeni kufukua makaburi mkidhani mnamuabisha au kumkomoa mtu wakati MNAJIDHALILISHA wenyewe.

mpaka kigogo2014 tushamjua ni nani na nani ,nyie endeleeni tu.

NB: Legacy ya Magufuli hamuwezi kuifuta kamwe,mambo yake wanaoneka kwa macho na Watanzania walimuelewa sasa nyinyi kazaneni na majungu halafu msifanye kazi za kuonekana TUONANE 2025.
Mkuu waache wachunguze tu we tulia zako tuliii
 
Hata kama hamdanganyiki, hata kama mnajua kila ovu; then mnavyojua mnafanya nini?
Siyo lazima maamuzi uyaone hapa subiri hapo hapo.

Kila jambo lina wakati wake hata yule bibi aliyeimba TURN TURN TURN Dolly parton alikuwa anaelewa.
 
Back
Top Bottom