StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Hahahaaaaa sema lengo lako uue ligasi ya watu. We mtu mbaya sana!.Hata hivyo naunga mkono hoja yakoWacha tujue,hata kama hawatofanywa kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa sema lengo lako uue ligasi ya watu. We mtu mbaya sana!.Hata hivyo naunga mkono hoja yakoWacha tujue,hata kama hawatofanywa kitu
Vuta subira. Hukumu baada ya uchunguzi kukamilika. Linda ligasi tafadhali,hahahahaaaaIbilisi joka kuu alikuwa msanii sana kama huo ukaguzi utafanyika utaibua mazito.
Una utani na ligasi ya watu[emoji16][emoji16][emoji16] wanasema ukitaka kuona nyeti za Kuku subiri upepo upulize mkuu.
Mnaharibu ligasi jamaniYule joka ibilisi shetani
Hahahahaaaaa unaharibu ligasi mkuuAwamu ya 5 si tulikua tunaongozwa na mzalendo, kiongozi wa malaika,mh. 'mungu' Kama Kabudi alivyomuita?Madudu yanatokea wapi Sasa?
Watajitetea sisi tulikuwa vidagaa tu. Kambale mwenye sharubu zake ndo alikuwa stelingi.Pia anasahau kuwa Mama naye alikuwepo kwenye system.
Ogopa sana wema unaotendewa katika mazingira ambapo mtenda wema anazima taa kwanza.Hivi wewe na akili yako ulimuona JPM anaweza kuficha hela hata Billion moja wewe? Azifiche wapi? Huelewi jinsi walivyokuwa wanamuwinda kumuumbua? Aipeleke benki ipi? Angalikuwa ni JK sema huyo ni mjanja tangu awamu ya pili na Barick yake.
Ligasi ife mazima au izidi kupaaa,hahahaaaaaNa ukishajua ukweli......
Kwani wewe ndo CAG mkuu?. Hayo madudu umeyajuaje?. Linda ligasi Tafadhali. HahahahaaaaaYaani huko mtafurumua madudu ya ajabu ya mwendazake - acheni tufunike kombe.
Hahahaaaaa hii thread ina nyundo za hatariAwamu ya nne ufisadi ulifanyika na kila mmoja ameuona.
Maana awamu hiyo serikali iliendesha mambo yake hadharani, ufisadi ulisemwa Bungeni, CAG amekagua, baadhi ya Mawaziri walipoteza kazi, magazeti yameandika na wananchi wamesikia.
Lakini ufisadi wa awamu ya tano hamtaki tiujue maana mtawala wa wakati huo mlimfananishwa na Masihi.
Mkuu waache wachunguze tu we tulia zako tuliiiChief hangaya nae anahusika kwa sababu alikuwa namba 2 ya awamu ya 5.
endeleeni kufukua makaburi mkidhani mnamuabisha au kumkomoa mtu wakati MNAJIDHALILISHA wenyewe.
mpaka kigogo2014 tushamjua ni nani na nani ,nyie endeleeni tu.
NB: Legacy ya Magufuli hamuwezi kuifuta kamwe,mambo yake wanaoneka kwa macho na Watanzania walimuelewa sasa nyinyi kazaneni na majungu halafu msifanye kazi za kuonekana TUONANE 2025.
Aliyezuia tusijue hayupoEndeleeni kusubiria mkuu. Zile alizohoji CAG aliyepita mliwahi kujua zimeishia wapi?
Atatolewa na CAG hahahaaaaaMbowe ni GAIDI.
30 inamhusu
Kama kama uchunguzi mliofanya BOT?Mpango ataulizwa na uchunguzi utafanyika.
Don't worry
Ee lazima tu watasema hivyo.Watajitetea sisi tulikuwa vidagaa tu. Kambale mwenye sharubu zake ndo alikuwa stelingi.
Kimsingi atakaye wajibika zaidi ni Dotto James , mpwa wa JPM, na aliyekuwa katibu mkuu Fedha.Mpango ataulizwa na uchunguzi utafanyika.
Don't worry
Ligasi kama ligasiMnaharibu ligasi jamani
Watanzania hawana shida mzee!Tulieni
Siyo lazima maamuzi uyaone hapa subiri hapo hapo.Hata kama hamdanganyiki, hata kama mnajua kila ovu; then mnavyojua mnafanya nini?