love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Muulzen mpango anajua kila kitu manaogopa nini kumuulza.Hao waliopita lini waliwahi kusema wao ni wasafi na wasema kweli? Huyo aliyekuwa Rais wa wanyonge ndiyo alikuwa anasema yeye anachukia ufisadi na ni msema kweli. Sasa akichunguzwa kuna shida gani? Wanyonge mnatakiwa mjue ukweli kuhusu aliyekuwa Rais wenu ili mjue ni jinsi gani aliwapambania.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
kwahiyo kutosema ni wasafi ni kujustify ufisadi ?
unatumia nini kufkri?