Awamu ya 5 hakuna ufisadi wewe! Hela imetumika hata kipofu anaonaAwamu ya nne ufisadi ulifanyika na kila mmoja ameuona.
Maana awamu hiyo serikali iliendesha mambo yake hadharani, ufisadi ulisemwa Bungeni, CAG amekagua, baadhi ya Mawaziri walipoteza kazi, magazeti yameandika na wananchi wamesikia.
Lakini ufisadi wa awamu ya tano hauatakiwi ujulikane maana mtawala wa wakati huo alifananishwa na Masihi.