Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Nafikiri serikali iliyopo Sasa ni ile ile iliyokuwepo, kuanzia Rais, Makamu na waziri Mkuu.
Ni mwendo wa kupiga tu
Yaani leo umeme badala walete wa uhakika tunaambiwa wamesaini na Mhindi $30m
Upigaji umerudi bila woga
Ule wa kwanza tulikuwa tunaambiwa tunajenga kwa hela zetu ila mmh
Lakini sasa mkataba unapita na huna la kufanya