Wekeni vitabu vya mahesabu mezani ili Nape aumbuke mahesabu yakiwa sawa.Ukiangalia sana Nape ana hasira amewekwa pembeni, anataka akumbukwe nae anyamazishwe kwa kupewa ulaji, Nape ni mnafiki sana, sasa hivi anapiga kelele kwakuwa hayuko mezani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekeni vitabu vya mahesabu mezani ili Nape aumbuke mahesabu yakiwa sawa.Ukiangalia sana Nape ana hasira amewekwa pembeni, anataka akumbukwe nae anyamazishwe kwa kupewa ulaji, Nape ni mnafiki sana, sasa hivi anapiga kelele kwakuwa hayuko mezani.
Yule joka ibilisi shetaniIbilisi joka kuu alikuwa msanii sana kama huo ukaguzi utafanyika utaibua mazito.
Wewe muongo!!!!!!!! Mbweni ni magofu tu. Sema awamu ya nneCAG kimsingi amekubali kukagua fedha za mikopo iliyoingiwa na serikali ya Awamu ya 5.
CAG Kichere amesha sema anasubiri maelekezo tu.
Kutokana na mijadala, hata humu JF, kuna watu wamepanic.
Kisirisiri wengi wanajua frdha zilivyoliwa, mitambo nyeti imenunuliwa st inflated prices, na hakuna aliyeuliza.
Miradi haikuhakikiwa na bunge, hilo linajulikana.
Nenda Tegeta A, Mbweni na kwingineko, majumba yalipaa kama uyoga, na ni watu fulani tu.
Nape umetonesha kidonda.
Naunga mkono hoja. Isiwe Awamu ya tano tu. Ianze awamu ya nne uone watu. watakavyoumbukaKuna kitu hawa wanasiasa lazima wakijue, kwanza hakuna mtanzania wakudanganywa kwa miaka hii, pili dunia imebadirika sana kiasi kwamba tunazo kumbukumbu zote na yote yaliyofanyika kabla ya Late John Joseph Pombe na yanayoendelea sasa.
Tusianze na lolote lile kati ya Richmond au Dowans either wanajua kila kitu or wanatafuta kumchafua mtu kwa kile alichofanya kuonekana was fashisti than those still living, hii ni nchi yetu sote siyo ya wazi na wanyang'anyi flani.
Huyo CAG tutamuomba arudi kuanzia nyuma wkt mmea ndiyo umeamishiwa eneo lingine ukiwa bado haujazoea aridhi mpya.
Ni kama unamsema Dr.Mpango aliyekuwa pale wizarani. Hiki ndio sababu kubwa ya kina Dotto kuhakishwa wizara tu na Bashiru kupunguziwa ulajiZimbabwe kuna waziri alikumbwa na tuhuma za rushwa, na kwakua ilimhusisha mkuu, walipomfuata kumhoji akasema "go on but I will not sink alone" aliishia kubadilishwa wizara tu.
Nnachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanyika ukaguzi madudu yakabainika, hakuna wa kumuwajibisha mwenzake, wengi sio wasafi. Watu ni walewale waliokuwepo awamu iliyopita.
Nnachojiuliza sasa, Nnnnape anafanya haya yote sasa hivi kwa uzalendo au kwa vile hakunufaika na ufisadi?
Mbegese yaani hayati vile alivyokata ile budget ya ukaguzi mwaka Juzi, hakuna mkaguzi anafagilia ule uzombi...ni kwamba jamaa watachambuliwa zaidi ya karanga!!!Kuna waliofaidika na JPM kwa kula cha juu kikubwa!
Utawasikia wakienda kwa waganga ili kuzuia uchunguzi🙂🤣🤣
Awamu ya 5 si tulikua tunaongozwa na mzalendo, kiongozi wa malaika,mh. 'mungu' Kama Kabudi alivyomuita?Madudu yanatokea wapi Sasa?Naunga mkono hoja. Isiwe Awamu ya tano tu. Ianze awamu ya nne uone watu. watakavyoumbuka
Pia anasahau kuwa Mama naye alikuwepo kwenye system.Huo uchunguzi ukishafanyika ikagunduoika kuna watu waliharibu hao wahusika watachukuliwa hatua au watafichwa kama ile ripoti ya fedha zilizochotwa BOT Magufuli alipofariki?
Huyu Nape naamini kabisa anapiga hizo kelele kwa malengo yake binafsi kisiasa ili akamate nyumbu wake, lakini anazijua vizuri tabia za chama chake kuwalinda wahalifu, anajua hakuna watakachofanywa hizi kelele zake ni upepo tu utapita.
Usililojua nape sio mtu ni taasisi kwaio io ni meseji imetumwa upande wa piliHuo uchunguzi ukishafanyika ikagunduoika kuna watu waliharibu hao wahusika watachukuliwa hatua au watafichwa kama ile ripoti ya fedha zilizochotwa BOT Magufuli alipofariki?
Huyu Nape naamini kabisa anapiga hizo kelele kwa malengo yake binafsi kisiasa ili akamate nyumbu wake, lakini anazijua vizuri tabia za chama chake kuwalinda wahalifu, anajua hakuna watakachofanywa hizi kelele zake ni upepo tu utapita.
Mama hakua na Authority yyt na pengine hakujua awamu ya tano walimuona mama ana lolote yaaniPia anasahau kuwa Mama naye alikuwepo kwenye system.
Mkuu ni Mkwere, prince na Membe wamemtuma abwatukeZimbabwe kuna waziri alikumbwa na tuhuma za rushwa, na kwakua ilimhusisha mkuu, walipomfuata kumhoji akasema "go on but I will not sink alone" aliishia kubadilishwa wizara tu.
Nnachotaka kusema ni kwamba, hata ukifanyika ukaguzi madudu yakabainika, hakuna wa kumuwajibisha mwenzake, wengi sio wasafi. Watu ni walewale waliokuwepo awamu iliyopita.
Nnachojiuliza sasa, Nnnnape anafanya haya yote sasa hivi kwa uzalendo au kwa vile hakunufaika na ufisadi?
Ni mtu asiye mwaminifu tu atamfukuza mkaguzi, CAG, akipata mwanya huo.How do you detect wizi bila kuonesha pesa zilikopwa kwa ajili nini na kama kimefanyika? Au mnauogopa ukweli utakaobainika?
Kama uchunguzi ukifanywa na Bunge kwa kuamriwa hivyo, basi utakuwa uchunguzi dedicated kwa hiyo mikopo tu ya Awamu ya Tano, kama alivyoomba Nape!Huyo CAG Kichere naye kwa nini asubiri maelekezo? Katba imeshatoa maelekezo tayari
Mkuu ni Mkwere, prince na Membe wamemtuma abwatuke
Hivi wewe na akili yako ulimuona JPM anaweza kuficha hela hata Billion moja wewe? Azifiche wapi? Huelewi jinsi walivyokuwa wanamuwinda kumuumbua? Aipeleke benki ipi? Angalikuwa ni JK sema huyo ni mjanja tangu awamu ya pili na Barick yake.Awamu ya 5 si tulikua tunaongozwa na mzalendo, kiongozi wa malaika,mh. 'mungu' Kama Kabudi alivyomuita?Madudu yanatokea wapi Sasa?
Mashiko sana,Hoja yake ina mashiko? Tuanzie hapo.
Kwa hiyo ukaguzi ufanyike au usifanyike?
Na ukishajua ukweli......Ukaguzi ndiyo njia sahihi ya kupata ukweli