Nape: Ni vema ‘Bunge LIVE’ likaanzia kwenye Vikao vya Kamati za Bunge ambako ndiko mambo mengi hufanyika

Nape: Ni vema ‘Bunge LIVE’ likaanzia kwenye Vikao vya Kamati za Bunge ambako ndiko mambo mengi hufanyika

Si ndio maana Nasema wanasiasa ni ndumilakuwili,sio wakuamini kabisa!

Sababu zilizotajwa na Nape(serikali) kuondoa Bunge live ni:
1.Gharama kubwa hivyo ni mzigo Kwa serikali.
2.Bunge live ni muda wa kazi hivyo watu huacha kazi na kuangalia Bunge!

Swali,Je,sababu hizo mbili zimepatiwa ufumbuzi gani??
Leo kasahau kuwa alisema hivyo.
 
Kama kasema hivyo kalikosea adabu bunge

Kikao ambacho hata waziri mkuu husimama kujibu. Maswali ya papo kwa papo anaita mbwembwe aisee

Kikao ambacho hata raisi huenda kuhutubia bunge anaita mbwembwe mmmm
Unaelewa maana ya mbwembwe?

Ni kama alivyokuwa anafanya Tundu Lisu anatoa povu ukumbini kumbe zuga tu kwenye kamati walishapitisha uamuzi!
 
Waziri wa Habari mh Nape amesema uamuzi wa bunge live ama la ni wa Bunge lenyewe na siyo la Serikali hivyo yeye yuko tayari kushirikiana na Bunge kama watahitaji kuwa live.

Nape amesema tena itapendeza kama Bunge live litaanzia kwenye Kamati za Bunge ambako ndiko maamuzi karibia yote hufanyika.

Nape amesema pale kwenye ukumbi wa Bunge wanakovaa suti na tai ni mbwembwe tu lakini maamuzi huwa yameshafikiwa kwenye vikao vya kamati.

Source: Clouds 360
Huku mbeleni hyu nape anapendezea sana kuwa waziri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumeanzia pale usahihi ulipoishia. Hatukuanzia pale makosa yalipoishia. Kila la heri
 
Waziri wa Habari mh Nape amesema uamuzi wa bunge live ama la ni wa Bunge lenyewe na siyo la Serikali hivyo yeye yuko tayari kushirikiana na Bunge kama watahitaji kuwa live.

Nape amesema tena itapendeza kama Bunge live litaanzia kwenye Kamati za Bunge ambako ndiko maamuzi karibia yote hufanyika.

Nape amesema pale kwenye ukumbi wa Bunge wanakovaa suti na tai ni mbwembwe tu lakini maamuzi huwa yameshafikiwa kwenye vikao vya kamati.

Source: Clouds 360
Hakuna sababu wala mahitaji ya kurusha live bunge la CCM. Liendelee kufanyika gizani hivohivo.
 
Kwanza bunge lenyewe nani anampango wa kuliangalia?Sawa na timu ya Taifa kuchukua wachezaji toka second division league halafu unasema mashabiki waingie bure.Acha lizuiwe maana hakuna tunachomiss wala tunachogain
 
Back
Top Bottom