Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Nape Ni kibaraka, hypocrite, nunda mla watu. Sheitwani mkubwa LuciferHuyu ndumila kuwili!Eti uamuzi wa Bunge live ni wa Bunge na si serikali!Mbona kipindi kile akiwa Waziri yeye ndiye aliyezuia Bunge live Kwa visingizio vya gharama na ni muda wa kazi?
Wanasiasa sio watu wakuamini kabisa,Shwain!
Kibatala?!!!Huyu Nape Ni Kibatala, hypocrite, nunda mla watu. Sheitwani mkubwa Lucifer
Ameshasahau alipitoka....ulevi haujamtokaKikao kinachoongozwa na Spika yeye anakiita Mbwembwe?
Nape kama nape
Kumbe pale ukumbini huwa ni comedy tu. Basi sawa tuanzie huko kwenye kamati za bunge, kwa sababu hawa ni wawakilishi wetu, sasa huwa wanatuwakilisha nini tusichotakiwa kukisikia?Waziri wa Habari mh Nape amesema uamuzi wa bunge live ama la ni wa Bunge lenyewe na siyo la Serikali hivyo yeye yuko tayari kushirikiana na Bunge kama watahitaji kuwa live.
Nape amesema tena itapendeza kama Bunge live litaanzia kwenye Kamati za Bunge ambako ndiko maamuzi karibia yote hufanyika.
Nape amesema pale kwenye ukumbi wa Bunge wanakovaa suti na tai ni mbwembwe tu lakini maamuzi huwa yameshafikiwa kwenye vikao vya kamati.
Source: Clouds 360
Lakini mbona hilo unaloita povu wakati mwingine tunaona mambo yanagoma na serikali inarudi kujipanga!Unaelewa maana ya mbwembwe?
Ni kama alivyokuwa anafanya Tundu Lisu anatoa povu ukumbini kumbe zuga tu kwenye kamati walishapitisha uamuzi!
Mtz yeyote ni ndumila kuwili, inategemea priceHuyu ndumila kuwili!Eti uamuzi wa Bunge live ni wa Bunge na si serikali!Mbona kipindi kile akiwa Waziri yeye ndiye aliyezuia Bunge live Kwa visingizio vya gharama na ni muda wa kazi?
Wanasiasa sio watu wakuamini kabisa,Shwain!
Unajua Kuna kamati ngapi?Spika hawezi kuwa mwenyekiti wa kila kamati!Huyo ndiye spika
Jiwe alipelekea hayo yote kutokeaHuyu ndumila kuwili!Eti uamuzi wa Bunge live ni wa Bunge na si serikali!Mbona kipindi kile akiwa Waziri yeye ndiye aliyezuia Bunge live Kwa visingizio vya gharama na ni muda wa kazi?
Wanasiasa sio watu wakuamini kabisa,Shwain!
Ndio baada ya kuanzisha studio yao!Walishatuona sisi wajinga eti?
Kwa hiyo wabunge ndio walizuia bunge live!..
Kutakuwa na kitu kinamshuhudia moyoniNape anajidai mstaarabu sana siku hizi.
Kwani sasa si "kazi zinaendelea"??Zile zilikuwa ni zama za Hapa Kazi Tu!
kibarakaKibatala?!!!