Leo kasahau kuwa alisema hivyo.Si ndio maana Nasema wanasiasa ni ndumilakuwili,sio wakuamini kabisa!
Sababu zilizotajwa na Nape(serikali) kuondoa Bunge live ni:
1.Gharama kubwa hivyo ni mzigo Kwa serikali.
2.Bunge live ni muda wa kazi hivyo watu huacha kazi na kuangalia Bunge!
Swali,Je,sababu hizo mbili zimepatiwa ufumbuzi gani??
Zile zilikuwa ni zama za Hapa Kazi Tu!Wadau walipojitokeza kugharamia,Bado serikali ilikataa!
Twende suala la pili,vipi Hilo la muda wa kazi?
Mwenyekiti!Kwani kamati huongozwa na nani?
Amesema zile zilikuwa zama za matumizi ya nguvu!Nape anajidai mstaarabu sana siku hizi.
Unaelewa maana ya mbwembwe?Kama kasema hivyo kalikosea adabu bunge
Kikao ambacho hata waziri mkuu husimama kujibu. Maswali ya papo kwa papo anaita mbwembwe aisee
Kikao ambacho hata raisi huenda kuhutubia bunge anaita mbwembwe mmmm
Daaah, kuweni na mshipa wa aibu!Hapa kazi tu wakati yeye alikuwa anaruka live kila aendako hata kama ni kuzindua choo?Zile zilikuwa ni zama za Hapa Kazi Tu!
Kamati huongozwa na mwenyekiti wa kamati husika!Kwani kamati huongozwa na nani?
Kwani kamati huongozwa na n
Huyo ndiye spikaMwenyekiti!
Huku mbeleni hyu nape anapendezea sana kuwa waziri mkuuWaziri wa Habari mh Nape amesema uamuzi wa bunge live ama la ni wa Bunge lenyewe na siyo la Serikali hivyo yeye yuko tayari kushirikiana na Bunge kama watahitaji kuwa live.
Nape amesema tena itapendeza kama Bunge live litaanzia kwenye Kamati za Bunge ambako ndiko maamuzi karibia yote hufanyika.
Nape amesema pale kwenye ukumbi wa Bunge wanakovaa suti na tai ni mbwembwe tu lakini maamuzi huwa yameshafikiwa kwenye vikao vya kamati.
Source: Clouds 360
Hakuna sababu wala mahitaji ya kurusha live bunge la CCM. Liendelee kufanyika gizani hivohivo.Waziri wa Habari mh Nape amesema uamuzi wa bunge live ama la ni wa Bunge lenyewe na siyo la Serikali hivyo yeye yuko tayari kushirikiana na Bunge kama watahitaji kuwa live.
Nape amesema tena itapendeza kama Bunge live litaanzia kwenye Kamati za Bunge ambako ndiko maamuzi karibia yote hufanyika.
Nape amesema pale kwenye ukumbi wa Bunge wanakovaa suti na tai ni mbwembwe tu lakini maamuzi huwa yameshafikiwa kwenye vikao vya kamati.
Source: Clouds 360
Mwenyekiti wa kamati husika!Kwani kamati huongozwa na nani?
Inaandaliwa!Waweke channel ya Bunge peke yake inayojiendesha yenyewe na atakae taka aangalie
Iwe Parliament channel
Wengine tutapita tu