Mkuu tena umebadilisha avatar picha kutoka teddy bear, lisamaki la ajabu na sasa hivi huyo mbabu wa gods must be crazy.Tukiandika nape hajawahi kuwa na akili ya kujitegemea tunashambuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tena umebadilisha avatar picha kutoka teddy bear, lisamaki la ajabu na sasa hivi huyo mbabu wa gods must be crazy.Tukiandika nape hajawahi kuwa na akili ya kujitegemea tunashambuliwa
🤣Mkuu tena umebadilisha avatar picha kutoka teddy bear, lisamaki la ajabu na sasa hivi huyo mbabu wa gods must be crazy.
Kumbuka majiwe magumu aliyoyaacha, hamtoyangoa. Stieglers, SGR, kuhamia Ddm na flyovers, na madaraja. Pia kafanya kitu ambacho Ruto kimemshinda pamoja na tumehuru na Supreme Court tunazoambiwa anazo: Magu aliwanyoosha wasaliti wote, ema wakarudi kundini au wakakimbia nje au wakatulia tuli Zanzibar, wakaufyata. Muone Ruto anavyohangaika na Raila, angekuwa ni Magu angesema hiiiiii bagosha! Ni kweli tulipumua vizuri wakati wake - hakuna maigizo redioni wala matusi barabarani.Nani? Jwe? Shetani mkbwa akumbukwe na nani, labda nyinyi mashetani wenzake
Rubbish from a rabid mind! Primitive mind!Kumbuka majiwe magumu aliyoyaacha, hamtoyangoa. Stieglers, SGR, kuhamia Ddm na flyovers, na madaraja. Pia kafanya kitu ambacho Ruto kimemshinda pamoja na tumehuru na Supreme Court tunazoambiwa anazo: Magu aliwanyoosha wasaliti wote, ema wakarudi kundini au wakakimbia nje au wakatulia tuli Zanzibar, wakaufyata. Muone Ruto anavyohangaika na Raila, angekuwa ni Magu angesema hiiiiii bagosha! Ni kweli tulipumua vizuri wakati wake - hakuna maigizo redioni wala matusi barabarani.
Alitumia fedha zake za mshahara?Kumbuka majiwe magumu aliyoyaacha, hamtoyangoa. Stieglers, SGR, kuhamia Ddm na flyovers, na madaraja. Pia kafanya kitu ambacho Ruto kimemshinda pamoja na tumehuru na Supreme Court tunazoambiwa anazo: Magu aliwanyoosha wasaliti wote, ema wakarudi kundini au wakakimbia nje au wakatulia tuli Zanzibar, wakaufyata. Muone Ruto anavyohangaika na Raila, angekuwa ni Magu angesema hiiiiii bagosha! Ni kweli tulipumua vizuri wakati wake - hakuna maigizo redioni wala matusi barabarani.
Alitumia fedha zetu kwa niaba yetu, kwa mamlaka aliyopewa kwamba Rais ni mwajiri mkuu wa watumishi wa Umma, mmiliki mkuu wa mali ya umma kwa niaba yetu. Ni Rais wetu, tulimchagua wenyewe.Alitumia fedha zake za mshahara?
Ulimchagua wewe na ukitaka mfuate alipoAlitumia fedha zetu kwa niaba yetu, kwa mamlaka aliyopewa kwamba Rais ni mwajiri mkuu wa watumishi wa Umma, mmiliki mkuu wa mali ya umma kwa niaba yetu. Ni Rais wetu, tulimchagua wenyewe.
Of course kuna wasaliti na vibaraka ndani ya Vyama vya siasa wenye mawazo tofauti, kila kwenye Uchaguzi huru wa vyama vingi 1958, 1962, 1965, 1995-2015 vimekuwa vikiweka Ilani zao mbadala kila mwaka lakini wanashindwa.
Safari ya mwisho ni 2020 CHADEMA waliweka Ilani ya Serkali 3 kuruhusu ushoga, Uraiapacha na Serkali ya majimbo wakimnadi ngombea Tundu Antipathy Mugway Masanja Vuyu Lissu. Kura hazikutosha, Ilani ilishindwa na yeye pamoja nayo akaambulia 13%/87%.
Mgombea tundulissu tayari kateuliwa na CHADEMA tena kupeperusha Ilani hiyo hiyo 2025 na ameahidi kutumia lakini kwa masharti kuwa Ilani yao ya 2020 (iliyoshindwa kwa "uchafuzi") lazima ipitishwe kinyemela kwa malidhiano mwaka huu, la sivyo atasusia Uchaguzi 2025 na kufanya vurugu kuzuia Uchaguzi usifanyike kabisa.
Kwa sasa yuko mapumzikoni Belgium akitembea na dereva wake, huku mke na watoto wako Marekani na wa mbowe wakifurahia uraia wa huko.
uyu Nape anajisahau sana, hii mitandao anayoiona ni mibaya ndiyo hiyohiyo iliyokuwa sauti ya pekee kumtetea kipindi kile katolewa bunduki njenje. Hivi huwa hawajifunzi kitu hawa?
Kwa hiyo kaufunga halafu anasikilizia aulizwe?Before hujaja na assumption ni vema ungeulizia kwanza why umefungwa