Tukumbuke laana?Mtanikumbuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukumbuke laana?Mtanikumbuka
Acha ujinga kwani wanaingia free si ma bando yao?Ni wenyewe wanaoumiliki ndio wameufunga, wanafunga kwa baadhi ya nchi, hasa za kiafrika, wameona hauna faida, na mwaka Jana wamepata hasara sana, nasikia Wana mpango wa kuuza, lakini hawajapata mteja...
Hao wanaosema uwongo wanawapigania watoto wako tatizo ww siasa za maccm zinakunufaishaSasa kama hadi uwashe vpn ndio unapata sasa nape kafungia kitu gani? Ingekua ni mimi ningefungia popote watu kama Lissu fatma karume na maria sarungi wanapata fursa kusema uongo na kupotosha hali halisi ya siasa na haki za binadami Tanzania.
Unadhani familia ya ben saanane, na wote waliopotea bila majibu na watamkunbuka??Mtanikumbuka
....naongeza....Nape, Tundu Lissu, Mbowe na Waliominywa mirija wako sambamba katika kueneza uwongo na upotoshaji uliojaa chuki binafsi.Nape alituambia kwamba Mungu aliamua ugomvi, kwa maana Magifuli kuna watu alikuwa na ugomvi nao ila Mungu akaingilia na kuondoa uhai wa Magufulu na hivyo hao maadui zale wakawa washindi...
Unaongelea wananchi gani?Hili jambo ni muhimu likatekelezwa ili kusaidia Wananchi kuifikia Internet kwa urahisi .
Ifahamike kwamba bila kuingia mitandaoni ni sawa na kuzikwa kaburini ukiwa hai , maana sasa imejulikana kwamba Watawala bado wana vimelea vile vile vya awamu ya kikatili
Rejea ya Club House
Msilalamike kwani nyie wenyewe mnapenda mtawaliwe na familia zilezile za babu, bibi, mtoto na mjukuu, analinda himaya yao.Nape strikes again.
Ukishaonja kula nyama za watu, kamwe hutoacha.
Yuleyule aliyetuondolea bunge live wakati huo akiwa waziri wa habari kipindi cha utawala wa Magufuli, Leo tena akiwa na dhamana hiyohiyo ya Waziri wa habari ameufungia kimyakimya mtandao maarufu wa Clubhouse...
Nani anapenda?Msilalamike kwani nyie wenyewe mnapenda mtawaliwe na familia zilezile za babu, bibi, mtoto na mjukuu, analinda himaya yao.
Wanawalinda dhidi ya nani? Mwaka juzi tundulissu alipoporwa kura 87%/13% akakuamrisheni mhamie barabarani yeye akahania Ulaya mbona hukuenda barabarani, mbona hatukuona mitutu? Nenda Kenya wanaume hawaogopi mitutu.Nani anapenda?
Hujui kuwa wana vijana wao wabeba mitutu wanawalinda pindi wakipora chaguzi?
Si tuliambiwa awamu hii tunafungulia kila kitu. "Mmefungia fungia kila kitu bila sababu" leo imekuwaje tena? Au ndo tulitaka tu kufuta ya magufuli?Nape strikes again.
Ukishaonja kula nyama za watu, kamwe hutoacha.
Yuleyule aliyetuondolea bunge live wakati huo akiwa waziri wa habari kipindi cha utawala wa Magufuli, Leo tena akiwa na dhamana hiyohiyo ya Waziri wa habari ameufungia kimyakimya mtandao maarufu wa Clubhouse.
Mtandao wa Clubhouse, ni mtandao ambapo watu popote pale walipo duniani huingia kujadiliana vitu mbalimbali kwa Sauti. Kupitia mtandao huu watu hujadili mada mbalimbali za maisha yao, ikiwemo uchumi, mambo ya kijamii, siasa n.k Nape mwenyewe ashaalikwa katika mada mojawapo kujadili ishu za anwani makazi.
Kutokana na elimu ya kuwaamsha watu na maarifa makubwa ambayo watanzania wamekuwa wakipata kupitia mtandao huo, serikali ya CCM imeona ni tishio kwao. Sasa Nape kama kawaida yake kaufungia mtandao huu ili Watanzania waendelee kuwa gizani.
Nape alipofungia bunge live wananchi walimlaani sana, baadae alipowekwa nje ya madaraka na JPM alikiri kuwa anajuta kushiriki maamuzi yale ya kufungia bunge Live. Leo Nape karudi madarakani kafungia tena mtandao wa Clubhouse ili Watanzania wasiweze kucongregate na kujadili mambo muhimu ya nchi yao.
Tukumbuke Nape huyuhuyu ndo alikuwa kinara wa kutetea sheria kandamizi ya vyombo vya habari wakati alipokuwa waziri wa habari kipindi cha JPM.
Tunamtaka Nape na TCRA, wafungulie mara moja mtandao wa clubhouse. Haiwezekani Rais Samia anasema kuwa anataka kuifungua nchi, na uhuru wa maoni uwepo, na kukosoa utawala wake ruksa, halafu anakuja Waziri kimyakimya bila kuutarifu Umma anafungia mitandao.
Kwa hivi sasa bila kuwasha VPN huwezi kuupata mtandao huu kwa sababu Nape Nnauye kaufungia.
Huyu Nape anajisahau sana, hii mitandao anayoiona ni mibaya ndiyo hiyohiyo iliyokuwa sauti ya pekee kumtetea kipindi kile katolewa bunduki njenje. Hivi huwa hawajifunzi kitu hawa?
Kwanini naww usiseme ...Before hujaja na assumption ni vema ungeulizia kwanza why umefungwa
Haya Mapaka hayana uwezo wa kuigusa VPN.Mzungu aliebuni VPN ni mtu na nusu.Mkuu mie VPN haikubali kufanya connection , nikajua wameifungia pia tusiweze kufanya connection.
Wangeingia barabarani wangeuawa wote. Wao wana vifaru, bunduki na risasi wakati wananchi wana mawe tuWanawalinda dhidi ya nani? Mwaka juzi tundulissu alipoporwa kura 87%/13% akakuamrisheni mhamie barabarani yeye akahania Ulaya mbona hukuenda barabarani, mbona hatukuona mitutu? Nenda Kenya wanaume hawaogopi mitutu.
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
install Thunder vpnHaya Mapaka hayana uwezo wa kuigusa VPN.Mzungu aliebuni VPN ni mtu na nusu.
Mtanikumbuka