Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #41
CCM waoga kwelikweli. Hawataki wananchi wawe na access na taarifa za kutosha ili wasiamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤭Napee huwa kichwan kajaza Uozo, ana siasa ya Akina kibajaji Domo!
Hata Elimu tuu, ana Elimu za wahindi zile ambazo, ukishindwa sana unabebwa bebwa.
Sijaelewa, mfano twitter waamue kuifungia Tanzania kisa kuna hasara. Hii ngumu kumeza, wanatafuta wateja mtandao uwe na mpana harafu waje wabane sehemu ndogo. Kwa nn wasifungie Malawi wafungie Tz.Ni wenyewe wanaoumiliki ndio wameufunga, wanafunga kwa baadhi ya nchi, hasa za kiafrika, wameona hauna faida, na mwaka Jana wamepata hasara sana, nasikia Wana mpango wa kuuza, lakini hawajapata mteja.
Imekuwa ngumu kupata matangazo au faida, na kwamba muda mwingi watu wanapigizana kelele tu, na wengine wakiwa wamelewa
Huyo kaja kuspin kuwatoa watu ktk reli.Sijaelewa, mfano twitter waamue kuifungia Tanzania kisa kuna hasara. Hii ngumu kumeza, wanatafuta wsteja mtandao uwe na mpana harafu waje wabane sehemu ndogo. Kwa nn wasifungie Malawi wafungie Tz.
Ni nape kafunga usitetee
Ni wenyewe wanaoumiliki ndio wameufunga, wanafunga kwa baadhi ya nchi, hasa za kiafrika, wameona hauna faida, na mwaka Jana wamepata hasara sana, nasikia Wana mpango wa kuuza, lakini hawajapata mteja.
Imekuwa ngumu kupata matangazo au faida, na kwamba muda mwingi watu wanapigizana kelele tu, na wengine wakiwa wamelewa
Mbona maudhui ya kishoga katika mitandao wanayafumbia macho?Nape strikes again.
Ukishaonja kula nyama za watu, kamwe hutoacha.
Yuleyule aliyetuondolea bunge live wakati huo akiwa waziri wa habari kipindi cha utawala wa Magufuli, Leo tena akiwa na dhamana hiyohiyo ya Waziri wa habari ameufungia kimyakimya mtandao maarufu wa Clubhouse.
Mtandao wa Clubhouse, ni mtandao ambapo watu popote pale walipo duniani huingia kujadiliana vitu mbalimbali kwa Sauti. Kupitia mtandao huu watu hujadili mada mbalimbali za maisha yao, ikiwemo uchumi, mambo ya kijamii, siasa n.k Nape mwenyewe ashaalikwa katika mada mojawapo kujadili ishu za anwani makazi.
Kutokana na elimu ya kuwaamsha watu na maarifa makubwa ambayo watanzania wamekuwa wakipata kupitia mtandao huo, serikali ya CCM imeona ni tishio kwao. Sasa Nape kama kawaida yake kaufungia mtandao huu ili Watanzania waendelee kuwa gizani.
Nape alipofungia bunge live wananchi walimlaani sana, baadae alipowekwa nje ya madaraka na JPM alikiri kuwa anajuta kushiriki maamuzi yale ya kufungia bunge Live. Leo Nape karudi madarakani kafungia tena mtandao wa Clubhouse ili Watanzania wasiweze kucongregate na kujadili mambo muhimu ya nchi yao.
Tukumbuke Nape huyuhuyu ndo alikuwa kinara wa kutetea sheria kandamizi ya vyombo vya habari wakati alipokuwa waziri wa habari kipindi cha JPM.
Tunamtaka Nape na TCRA, wafungulie mara moja mtandao wa clubhouse. Haiwezekani Rais Samia anasema kuwa anataka kuifungua nchi, na uhuru wa maoni uwepo, na kukosoa utawala wake ruksa, halafu anakuja Waziri kimyakimya bila kuutarifu Umma anafungia mitandao.
Kwa hivi sasa bila kuwasha VPN huwezi kuupata mtandao huu kwa sababu Nape Nnauye kaufungia.
Huyu Nape anajisahau sana, hii mitandao anayoiona ni mibaya ndiyo hiyohiyo iliyokuwa sauti ya pekee kumtetea kipindi kile katolewa bunduki njenje. Hivi huwa hawajifunzi kitu hawa?
Mjumbe wa ajabu. Kwanza umesema huelewi halafu unazidi kueleza, huoni kuna tatizo hapo? Ila kwa kweli huelewi, ngoja nikusaidie. Chukua mfano wa TANU au tusema YANGA, ina Malawi duniani kote. Ukidikia tawi la YANGA la Denmark linatoa uongo, au linavunja sheria za huko, ni sawa YANGA Makao Makuu kulichukulia hatua za kinidhamu, ikiwamo kulifunga.Sijaelewa, mfano twitter waamue kuifungia Tanzania kisa kuna hasara. Hii ngumu kumeza, wanatafuta wsteja mtandao uwe na mpana harafu waje wabane sehemu ndogo. Kwa nn wasifungie Malawi wafungie Tz.
Ni nape kafunga usitetee
huna akili.Before hujaja na assumption ni vema ungeulizia kwanza why umefungwa
Ndio italichukulia hizo hatua kimya kimya ?? Kwa hiyo wa Tz ndio tunawaingizia hasara sio.Mjumbe wa ajabu. Kwanza umesema huelewi halafu unazidi kueleza, huoni kuna tatizo hapo? Ila kwa kweli huelewi, ngoja nikusaidie. Chukua mfano wa TANU au tusema YANGA, ina Malawi duniani kote. Ukidikia tawi la YANGA la Denmark linatoa uongo, au linavunja sheria za huko, ni sawa YANGA Makao Makuu kulichukulia hatua za kinidhamu, ikiwamo kulifunga.
Upupu unawawasha waramba asaliWaTz hawana cha maana wanachojadili huko , wacha Nape afungie tu wanajadili upupu mtupu.
Hawa huwa ni watu wabinafsi sana kwani wanajali matumbo yao tu, kama kuifungia club house hiyo ni kwa ajili ya kulinda cheo chake tu sio vinginevyo, hata alipofungia Bunge live sababu ilikuwa hiyo hiyo na ndio maana alipoondolewa madarakani akajifanya kujutia kitendo kile, unafiki mtupu.Nape strikes again.
Ukishaonja kula nyama za watu, kamwe hutoacha...
Waoga au wababe? Wanafanya wanachotaka na hakuna wa kuleta fyoko fyoko.CCM waoga kwelikweli. Hawataki wananchi wawe na access na taarifa za kutosha ili wasiamke
Mtakumbuka shaka ndio nini?Endeleeni kujiliwaza, kuna siku mtakumbuka shaka pamekucha,nguchilo nyie,