Mama kazidi upole naomba apite hapa asome. Mama safisha ndani ya chama kuna wachawi wengi wapinzani sio tishio kwako humo ndani ya jumba kuna wanga.Mzee Mangula hawezi kuwa dira kwa miaka yote.
He is a dinasour kwa sasa.
Mama aachiwe apige kazi, na na muda muafaka sasa kuisafisha CCM.
Wakati wa Mwalimu kulikuwa na sera ya KUNG'ATUKA, mzee Mangula anashauriwa aisime vizuri sera hiyo na aende na wakati.
Mji usio na wazee ........ ( Malizia)Mzee Mangula hawezi kuwa dira kwa miaka yote.
He is a dinasour kwa sasa.
Mama aachiwe apige kazi, na na muda muafaka sasa kuisafisha CCM.
Wakati wa Mwalimu kulikuwa na sera ya KUNG'ATUKA, mzee Mangula anashauriwa aisime vizuri sera hiyo na aende na wakati.
Kwani chato waliahidiwa uwanja wa ndege bohari kuu ya madawa na chuo cha VETA?
Itajengwa tuuuuu.
Kambi Kikwete bandari ijengweSalaam Wakuu,
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula kuzungumzia Bandari ya Bagamoyo kwamba haipo kwenye ilani, Mbunge wa Mtama Moses Nnauye(CCM) ameibuka na kusema kwamba kuna miladi mingi imetekelezwa ambago haikuwa kwenye ilani....
Nape anajulikana sana kwa tabia yake ya usaka fursa. Hata hivyo kaka Tanzania kuna family dynasty ambayo miaka nenda rudi viongozi wakubwa wanatoka humo ndio maana tunajikokota mno kufikia malengo.Tabia zake za hivi karibuni zinanifanya nisiione "hoja" yake.
Hata enzi za jiwe watu waliishi hivyo unamshangaa vipi Nape akifanya kwa Samia?Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.
Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.
Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?
Hata kama anatawaliwa na njaa lakini alichokisema ni kweli na kaweka ushahidi kuwa kuna miradi umejengwa bika kuwemo kwenye ilaniNape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake...
Kujengwa si tatizo, watueleze hayo maslahi ya nchi kwenye hiyo bandari ni yapi. Aliyetuambia haikuwa na maslahi alikuwa mwenyekiti wao na hawakumbishia.Itajengwa tuuuuu.
Nataka mji wetu wa bagqmoyo uwe na maendeleeoooVyovyote vile mana we unaeishi Nanjilinji hutopata hata senti kazi kutype tu nyuma ya key board
ππππTusubiri kauli ya chama kuhusu Nape
Maslahi ni maendeleo ya bagamoyo na nchi kwa ujumla.Kujengwa si tatizo, watueleze hayo maslahi ya nchi kwenye hiyo bandari ni yapi. Aliyetuambia haikuwa na maslahi alikuwa mwenyekiti wao na hawakumbishia.
Mwambie mzee Mangula aongee na CDF basi kielewekeKwa wasiojua ni kuwa Mangula akisema kitu kisifanywe hakifamywi, akimwambia Mabeyo toa huyo Mama, Mabeyo haulizi mara mbili...
Mabeyo akikuta missed call zaidi ya moja ya Mangula anachacharika kuliko ya Samia...
Na inasemekana huyu Mzee ndio aliokoa/alishauri utawala wa Kikwete usipinduliwe