Nape Nnauye amjibu Mangula, ni Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo

Mama kazidi upole naomba apite hapa asome. Mama safisha ndani ya chama kuna wachawi wengi wapinzani sio tishio kwako humo ndani ya jumba kuna wanga.
 
Mji usio na wazee ........ ( Malizia)
 
Kwani chato waliahidiwa uwanja wa ndege bohari kuu ya madawa na chuo cha VETA?

Kwa iyo wanaChato hawakuwa na hadhi ya kujengewa Chuo Cha Veta? Hawastahili kupata elimu ya Ufundi?
 
Kambi Kikwete bandari ijengwe

Kambi JPM mikataba ya bandari ni ya kinyonyaji

Hapo chacha
 
Tabia zake za hivi karibuni zinanifanya nisiione "hoja" yake.
Nape anajulikana sana kwa tabia yake ya usaka fursa. Hata hivyo kaka Tanzania kuna family dynasty ambayo miaka nenda rudi viongozi wakubwa wanatoka humo ndio maana tunajikokota mno kufikia malengo.

Wakati mwingine ni bora kujadili hoja ya mtu badala ya personality yake. Tabia ya usinitch tunayo Watanzania hasa tunapoitaji kupata jambo flani. Tujenge hoja nzuri ambazo zitawababaisha viongozi ambao wametufanya kuwa passive receiver ndani ya nchi yetu
 
Hata enzi za jiwe watu waliishi hivyo unamshangaa vipi Nape akifanya kwa Samia?
 
Kwa wasiojua ni kuwa Mangula akisema kitu kisifanywe hakifamywi, akimwambia Mabeyo toa huyo Mama, Mabeyo haulizi mara mbili...

Mabeyo akikuta missed call zaidi ya moja ya Mangula anachacharika kuliko ya Samia...

Na inasemekana huyu Mzee ndio aliokoa/alishauri utawala wa Kikwete usipinduliwe
 
Ile sumu aliyopewa Mangula ili afe nafikili bado Inamsumbua. Atakuwa bado hajapona vizuri
 
Nnape kawa β€œvocal” sana these days hasa kwenye mambo ambayo Samia anayapenda. Sijui ni kuvizia teuzi?
 
MiCCM imeiba kura za wapinzani na kujipa ubunge Kimagumashi Sasa inajipinga yenyewe.Makamu Mwenyekiti ana mpinga Mwenyekiti wake.
 
Kujengwa si tatizo, watueleze hayo maslahi ya nchi kwenye hiyo bandari ni yapi. Aliyetuambia haikuwa na maslahi alikuwa mwenyekiti wao na hawakumbishia.
Maslahi ni maendeleo ya bagamoyo na nchi kwa ujumla.
Kikwete alifeli Sana.
Amekaa miaka 10 lakini ameshindwa kujenga kwao Tena karibu na ikulu.
Mwenzake kakaa miaka 5 tu.
Kajenga chato vitu vya maana
 
Mwambie mzee Mangula aongee na CDF basi kieleweke
 
Nape, Mwigulu, January, JK, Riziwani, Fred Lowassa, SSH, watupieni macho kuelekea 2025 . Hii ni familia moja iliyobuni namna ya kutawala watu Milion 60.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…