Nape Nnauye amjibu Mangula, ni Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo

Nape Nnauye amjibu Mangula, ni Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo

Serikali itahitaji ilipe gharama zote ili mradi urudi kwa serikali
Hapana serikali hailipi kitu mradi unajilipia wenyewe kwa maana mkataba wa mwekezaji kuendesha bandari miaka kadhaa na huku wakilipa tax mwekezaji anafanya biashara miaka fulani kwa mahesabu muda huo atakuwa amerudisha na faida juu baada ya hapo wanakabidhi kwa serikali. issue ni huo mkataba kuwa na vifungu balance kwa serikali na mwekezeji. Ila serikali haitoi hata shilling inatoa ardhi yake tu kufanyiwa biashara.
 
Ikiwa JK na JPM walikosea basi inapaswa kila anayekuja akosee?
Ukiona kutokufuata ilan ya chama cha mapinduzi ujue ni jambo la kawaida na hakuna cha ajabu. Isiwe kweny awam hii ndo ionekane ni makosa wakat awam zilizopita ilikua hivyo. Kikubwa ni kama miradi ina tija kwa Taifa acha iendelee!!!
 
Ukiangalia kwa makini utagundua wachangiaji wengi hawatoi hoja zaidi ya kumshambilia nape. Tuna kizazi ambacho kinapenda majungu kuliko ukweli wenyewe hii ni hatari kwani kizazi hiki ndicho kinatoa viongozi wa kutupeleka kwenye nchi ya ahadi
Na hii yote ni kundi la lile la MATAGANIST ndilo linapigana mwanzo mwisho kupinga yanayoendelea awamu hii! All in all polen san kwa unexpected situation!!!
 
Binafsi Kama mambo yanayotekelezwa na serikali yetu Yana tija kwa wananchi Haina haja ya kusubiri Hadi yawepo kwenye ilani ya chama,mbona bwana mangula hajahoji mradi wa ujenzi wa madarasa ya uviko19 unaoendelea nchi nzima kwa ghalama kubwa sana,je huu mradi ulikuwemo kwenye Irani ya chama au umekuja baada ya serikali kuona kuwa Kuna uhitaji wa madarasa?

Si hivyo tu Bali pia serikali inapaswa kuondoa mambo yaliyo kwenye ilani ikiwa tu kwa Wakati huo mambo hayo hayana umuhimu.
 
Walishamchoka Mangula pia; alitumika sana na Magu kukandamiza wanachama wenzake
 
Back
Top Bottom