Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa survival for the fittestNape anahangaika sana kujisafisha siku hizi!!
Atuondolee upuuzi wake na unafiki wake huyo tumo tumbo. Nape amekuwa kama popo tu sasa,siyo ndege wala mnyama.Mbunge wa Mtama ndugu Nape Nnauye amehudhuria baraza kuu la UVCCM na kumpongeza mwenyekiti wake Khery James kwa kazi kubwa wanayofanya ya kukilinda chama.
Nape Nnauye amewataka Bavicha na Chadema kwa ujumla wakajifunze siasa CCM.
Kazi Iendelee
Imebaki kiwiliwili tu!
Hapo lazima haja kubwa ilikuwa inagonga chupi, anatetemeka hovyo. Hiyo pua Mwandosya mtupu.Yaani Nape huyuhuyu...kweli mnafiki hana aibu. Bila shaka tayari amesahau simu zake za usiku wa manane na ile safari yake ya Ikulu kujikomba kwa jiwe akisaka huruma kwa baba...
View attachment 1795750
Hakika ningekuwa Nape, ningefikiria mara mbili kabla ya kukurupuka na matamshi ya kinafiki yasiyo na uhalisia wowote...shame on you!
Nape hana akili.Mbunge wa Mtama ndugu Nape Nnauye amehudhuria baraza kuu la UVCCM na kumpongeza mwenyekiti wake Khery James kwa kazi kubwa wanayofanya ya kukilinda chama.
Nape Nnauye amewataka Bavicha na Chadema kwa ujumla wakajifunze siasa CCM.
Kazi Iendelee
Alikuja na hilo shangingi alishukia gateni ili wamsulubu atie akili kwanza,baada ya kubwabwaja sana nakuwasnitch wenzake kwa marehemu ndiyo gari ikaletwa hadi mlangoni. Walimtia dislpini kidogo.Ndio maana amejisalimisha kwa Kherry.......hahahaaaa!
Matokeo yake wao ndiyo wamegeuzwa kuni huko jehanamswali zuri mno, tuwaulize hao waliosema kwamba kufikia 2020 CDM itakuwa ishafutika kwenye ulingo wa siasa za Tanzania.
Na kila anayeitakia Chadema kufa anakufa yeye mfano tumeona kwa dhalimBado CHADEMA ni jinamizi kwa CCM! Kiukweli CHADEMA will NEVER die.