Nape Nnauye ampongeza Kheri James na UVCCM, awataka watani wao (Chadema) wakajifunze siasa CCM

Nape amesahau nini kwa delicious Kheri James? Why now ? Kweli Nape mnafiki
 
Mbunge wa Mtama ndugu Nape Nnauye amehudhuria baraza kuu la UVCCM na kumpongeza mwenyekiti wake Khery James kwa kazi kubwa wanayofanya ya kukilinda chama.

Nape Nnauye amewataka Bavicha na Chadema kwa ujumla wakajifunze siasa CCM.

Kazi Iendelee
Atuondolee upuuzi wake na unafiki wake huyo tumo tumbo. Nape amekuwa kama popo tu sasa,siyo ndege wala mnyama.
 
Hapo lazima haja kubwa ilikuwa inagonga chupi, anatetemeka hovyo. Hiyo pua Mwandosya mtupu.
 
Mbunge wa Mtama ndugu Nape Nnauye amehudhuria baraza kuu la UVCCM na kumpongeza mwenyekiti wake Khery James kwa kazi kubwa wanayofanya ya kukilinda chama.

Nape Nnauye amewataka Bavicha na Chadema kwa ujumla wakajifunze siasa CCM.

Kazi Iendelee
Nape hana akili.
Anawaona watz ni viazi
 
Ndio maana amejisalimisha kwa Kherry.......hahahaaaa!
Alikuja na hilo shangingi alishukia gateni ili wamsulubu atie akili kwanza,baada ya kubwabwaja sana nakuwasnitch wenzake kwa marehemu ndiyo gari ikaletwa hadi mlangoni. Walimtia dislpini kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…