Uchaguzi 2020 Nape Nnauye ateuliwa kuwania Ubunge jimbo la Mtama peke yake baada ya wagombea wengine kukosa baadhi vya vigezo

Uchaguzi 2020 Nape Nnauye ateuliwa kuwania Ubunge jimbo la Mtama peke yake baada ya wagombea wengine kukosa baadhi vya vigezo

Hana tofauti na mwanaume anayejua na kukubali kuwa kipengele hicho kiko kikatiba...

Ukiona chama kinategemea kushinda bila kushindana, ujue hicho chama kimezeeka na kuishiwa ushawishi.
 
Nilimsikia akisisitiza majimbo yote ya lindi CCM hakiwezi shinda hata jimbo moja, Sasa ajitokeze huko alikojichimbia aseme kumetokea nini? Inashangaza siasa za kilaghai kama za ZZK kuwaaminisha Umma kwamba wako vizuri kumbe utopolo tu!
Yule jamaa msomi lakini elimu yake utafikiri ameipata kwa mganga
 
You always smart ila sio leo....

Leo uko kishabiki zaidi....

Zile za mnategemea goli la penati[emoji3][emoji3]

Basi tufute penati
Ukiona chama kinategemea kushinda bila kushindana, ujue hicho chama kimezeeka na kuishiwa ushawishi.
 
Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi amesema Nape Nauye ni mbunge pekee aliyepitishwa katika jimbo hilo.

Msimamizi huyo amesema wakati wa ukaguzi wanaangalia vitu vingi ikiwemo matumizi sahihi ya herufi. Mfano L badala ya R au N badala ya M mathalani nchale badala ya mshale.

Wagombea waliokatwa walikuwa na haki ya kukata rufaa, amemalizia msimamizi huyo wa uchaguzi.

Source Clouds tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi amesema Nape Nauye ni mbunge pekee aliyepitishwa katika jimbo hilo.

Msimamizi huyo amesema wakati wa ukaguzi wanaangalia vitu vingi ikiwemo matumizi sahihi ya herufi. Mfano L badala ya R au N badala ya M mathalani nchale badala ya mshale.

Wagombea waliokatwa walikuwa na haki ya kukata rufaa, amemalizia msimamizi huyo wa uchaguzi.

Source Clouds tv

Maendeleo hayana vyama!
Upuuzi mtupu
 
Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi amesema Nape Nauye ni mbunge pekee aliyepitishwa katika jimbo hilo.

Msimamizi huyo amesema wakati wa ukaguzi wanaangalia vitu vingi ikiwemo matumizi sahihi ya herufi. Mfano L badala ya R au N badala ya M mathalani nchale badala ya mshale.

Wagombea waliokatwa walikuwa na haki ya kukata rufaa, amemalizia msimamizi huyo wa uchaguzi.

Source Clouds tv

Maendeleo hayana vyama!
Mbona aliwapa TAKUKURU fomu za Mathew?
 
Fomu ya ubunge Leo ndiyo mtihani
wa darasa la tatu hao return officers wachunguzeni ni wala rushwa zaidi
ya Wale wajumbe wanaosifika kwa kula rushwa.
 
Usifurahie kupita bila ya kupingwa wakati , raha ya kupitwa bila ya kupingwa upite kihalali bila figisu yeyote
 
Hilo mbona kosa dogo sana...si ni kuwasahihisha tu...
 
Back
Top Bottom