Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini umelazimishwa kufirwa?
Ni vitu ambavyo havinitishi kabisa, kama wewe unaamini kila mtu akiona hizo rangi za upinde anaweza akawa shoga basi mashoga wakitangaza rangi zote zilizopo duniani ni zao basi hata wewe unaenda kufirwa muda si mrefu.
Sheria inatakiwa itungwe dhidi conspiracy theorists kama wewe na wenzako mnaotumia ushoga kulisha jamii matangopori ya kila aina na kuwaondoa kujadili mambo ya msingi.
Weweunajadili report ya CAG ili upate nini? Ni maazimio gani utakayoyafikia hapa kwa kukuijadili hiyo ripoti? Waache wabunge ambao tumewachagua watuwakilishe waifanye kazi hiyo kwa vile tunawalipa mishahara kwa hayo majukumu
Anaizungumziaje kauli ya Papa?Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema “Hakuna sababu ya kumung’unya maneno, hatuwezi kufungua mlango wa laana kuruhusu Ushoga, usagaji, mapenzi ya jinsia moja.”