Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

"Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote,na huo utakatifu,ambao hapana atakayemuona BWANA asipokuwa nao"- waebrania 12:14
 
Awamu hii kwa mungu wa chato kila goti litapigwa
 
watu mbona povu, ya ccm waachieni ccm wenyewe, tatizo cdm mnapenda sana kuyaingilia hadi ya ccm kwa ccm na hiyo ni hadi kwa viongozi wenu cjui mkoje
 
Musiba akatafute kazi nyingine

Waraka wa Wazee ule ulikuwa na Barka za Wenye Chama na sasa umekuwa neema kwa watu kuombana samahani na kuyamaliza

Kidumu chama cha Mapinduzi
Kupambana na Rais lazima ukubali kupoteza kila kitu,,Nan yupo tayar kupoteza mkate wa fàmilia?Hakuna labda Lissu
 
Kww nini misamaha ya mh inatangazwa hadharani? navyofaham msamaha ni siri kati ya muomba msamaha na mtoa msamaha
 
Tissue paper hutafutwa saa mtu anataka kujisaidia, huyu bao la mkono tafakuri hiyo.
 
Aliyemuita mzee baba mshamba ameshaomba msamaha bado yule Msomali mzee Mali Mali.

Ndio uzuri wa Ccm

Huwa inamaliza mambo yake katika mazingira msiyotarajia

Mzee Kinana na Makamba nae kamalizana nao kwa heshma yao na umri wao kina Mzee Msekwa wameona sio busara waombe radhi hadharan

Ule Waraka ulikuwa wa kuomba Wazee wastaaf waingilie kati na wameingilia kati kweli

Hata Membe kamalizana nae
 
Bado tuna safari ndefu sana ya kulikomboa Taifa letu kutoka mikononi mwa wahuni, majizi, mafisadi na WAUAJI.

Wanachojali ni MATUMBO YAO tu bali si maslahi ya nchi.

 

Wako baadhi ya wanasiasa wanacheza mchezo wa kisiasa kama unaangalia zile seasons za kikorea....Huwa naziangalia sana zile movie za kikorea...zinafundisha mambo mengi sana kwenye maisha ya kisiasa kuhusu Uaminifu, fitina, unafiki, uzalendo, mikakati, majungu, ushujaa/ujasiri, ubinafsi, uonevu, ubabe, ulimbukeni, ukabila, ufisadi, wizi, ukweli halisi, utaifa na kadhalika.
 
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko, ni msemo maarufu wenye umri mkubwa.

Kilichofanyika mpaka udukuzi ukaweza kuanikwa hadharani ni kitendo cha kuiua fitina ambayo imekuwa na nguvu ndani ya CCM tangu Mwalimu Nyerere alipoachia nafasi ya uenyekiti.

Fitina imekuwa ikichangia kuwadhoofisha nguvu wenyeviti na ndio maana hata wale wanaodhani kwamba wanafaa kuwa warithi wao wanashindwa kuja kuwa marais, fitina ndio kikwazo kikuu.

Fitina huenda sambamba na unafiki, na unafiki ni hali mbaya sana kwani hakuna tena anayefaa kuaminiwa kati ya wanaokuwa wamekuzunguka.
 
Kwani hili la Nape kuomba msamaha unadhani limenishtua?

Kama yule RC PHD mzima aliyetumbuliwa kule Moro kipindi Magu ameingia tu aliandika huko Mitandaoni oooh Baba nimekosa mimi nimekosa sana kama samaki alivyommeza petro sijui nini baba nisamehe 7 mara 70 mimi mkosefu sijui nini,so sishangazwi na style zenu za kuombana msamaha kwa kujinyenyekeza.

No wonder kwa style hii ya kuombana msamaha huku mkisema baba yangu nisamehe baba sijui nini ilimfanya mpk Mwanri akasema itabidi 'mungu' amshukuru Magufuli kwa utendaji kazi wake,hahah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…