Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Usipojua hilo utawahi kufa kwa ugonjwa wa moyo.Ndo siasa hizi
unafiki mwanzo mwisho
Baada ya uchaguzi mwakani tutajua rangi halisi za wanasiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipojua hilo utawahi kufa kwa ugonjwa wa moyo.Ndo siasa hizi
unafiki mwanzo mwisho
Baada ya uchaguzi mwakani tutajua rangi halisi za wanasiasa
Hapo vipi?Magu anamuhitaji Nape kwasababu anahitaji kura za watu wa kusini.
Hili laweza kufanyika hivi lakini moyoni kila mtu kati yao analo lake jambo, either mtu anakwepa kusulubiwa au anaomba yaishe maisha yaende, ila kunaweza kukawa na timing maana adui huwa hataki ujue kuwa ni adui wako. Swali la kufikirisha: Je JIWE ASINGEDUKUA SAUTI HALI ILIKUWEJE HUKO MBELENI? KWA MAANA NYINGINE JIWE ASINGEJUA ANAVYOSEMWA, HAO NDIO WALIO DUKULIWA SAUTI NA JE, WENGINE AMBAO HAWAJAONGEA WANAYAPI MOYONI MWAO.Naam,
Mbunge wa Mtama kupitia CCM ndugu Nape Nnauye leo kakutana na Raisi Magufuli Ikulu kujadiliana masuala ya kitaifa.
View attachment 1203550View attachment 1203551
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo pamoja na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye aliyefika Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuomba msamaha mara baada ya kuzungumza na wanahabari. Hii ni baada ya mazungumzo yao pamoja na kusamehewa kosa aliliofanya miezi michache iliyopita.
Zaidi, soma;
Musiba akatafute kazi nyingine
Waraka wa Wazee ule ulikuwa na Barka za Wenye Chama na sasa umekuwa neema kwa watu kuombana samahani na kuyamaliza
Kidumu chama cha Mapinduzi
Yani vijana wa chadema akiliza kama za bata sasa wanampenda Tundu lissu wasije wakashangaa siku moja wanamuona ikulu na magufur wapinzan wa Tanzania wengi ni waigizaji wanaigiza Siasa.Hee hee. Mnaanza kuhamisha magoli sasa. Hata aibu hamna. Mimi nilishawambia huu mtindo wa upinzani wa kushabikia mtu yeyote anayempinga rais Magufuli utazidi kuwaporomosha. Hawakujifunza kwa kina Lowassa, Wema na wengineo wengi? Chadema wataishia kutumika kama choo tu. Subirini na Nyalandu ni muda tu atawatoroka.
Hiyo mikono ya Nape[emoji23][emoji23][emoji23]Picha nzuri