Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Hebu ngoja nikimbie twitter nione Nape anasemaje, kama ni kweli au ni picha ya zamani tu hii!!
 
Wanasiasa sio watu wa kuwaamini, alivyokua anaongea vile kwenye simu sijategemea kumuona akiomba msamaha
Ivi unaijua nguvu ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, na Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama unaweza kupimana nae ubavu kwel?
 
Sijaelewa kinachoendelea ndani ya jahazi ila tunaweza kusema ni taarifa kwa wale wanaodhani jahazi linaingia maji na linaweza kuzama ilihali maji yanaingia na kutolewa.

Kwa lugha yetu wakongwe huwa tunasema
(mtoto kashika adabu) maana mmoja mmoja anaenda nyumbani na kukiri.

Ila kwa muktadha huu wa kupigwa masnap kutokea juu tena popote unapotokea huku jasho likimwagika sijaelewa mantiki yake!!.


View attachment 1203594

View attachment 1203595

View attachment 1203598

View attachment 1203599
Hata Mimi sijaelewa, yani kuna vitu hata ktk akiri Ya kawaida tu haviiingiii kichwani, mmmmmmmh Mimi nitashuhudia mambo mengi Sana ambayo sijawahi kuyaona au kuyafikiria kuwa yanaweza kutokea duuuh ,
 
"Nilikuja kumuona kama Baba yangu, Rais wangu, kwasababu wote mnajua yametokea mambo mengi hapa katikati na mimi kama Mtoto wa CCM, kama Mwanae nilisema nadhani ni vizuri nije niongee na Baba yangu, na ameniambia kwamba amenisamehe na amenipa ushauri, namshukuru sana" - NAPE
Translate Tweet




2:41 PM · Sep 10, 2019·Twitter for iPhone
7
Retweets

82
Likes
 
Nape ameonesha kubalehe kisiasa. Sio kama wakina makonda au musiba
 
Ha ha had
"Nilikuja kumuona kama Baba yangu, Rais wangu, kwasababu wote mnajua yametokea mambo mengi hapa katikati na mimi kama Mtoto wa CCM, kama Mwanae nilisema nadhani ni vizuri nije niongee na Baba yangu, na ameniambia kwamba amenisamehe na amenipa ushauri, namshukuru sana" - NAPE
Translate Tweet




2:41 PM · Sep 10, 2019·Twitter for iPhone
7
Retweets

82
Likes
 
Nape karibu tena kwenye kale kakikundi ketu ka kumsifu na kumuabudu Jiwe, tuliku-miss sana! Sasa ujitokeze hadhari kuunga mkono ile kauli ya kuwapiga mashangazi zetu ambayo enzi zile umetengwa kwenye haka ka kikundi ketu ka majuha tunaosifu na kuabudu uchizi wote wa awamu ya 5 kalikuumiza sana! Karibu sana comrade, majuha wenzako wa Lumumba tuliku-miss sana!
 
Magu anamuhitaji Nape kwasababu anahitaji kura za watu wa kusini.
Mwe.hu wewe, nape ndo mpiga kura pekee kusini? kama kuna jambo litanifanya nisimwelewe JPM ni kuwashirikisha hao wapuuzi kwenye siasa za CCM tena, kusamehewa na JPM as a person ni jambo moja, kusamehewa kwa kukiuka kanuni na taratibu za chama na kusamehewa na chama ni swala jingine.
 
Kinana wapi sasa ? Kinana has nothing to lose. He is in his lovely country "Canada"
 
Back
Top Bottom