Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

"Nilikuja kumuona kama Baba yangu, Rais wangu, kwasababu wote mnajua yametokea mambo mengi hapa katikati na mimi kama Mtoto wa CCM, kama Mwanae nilisema nadhani ni vizuri nije niongee na Baba yangu, na ameniambia kwamba amenisamehe na amenipa ushauri, namshukuru sana" - NAPE
Translate Tweet




2:41 PM · Sep 10, 2019·Twitter for iPhone
7
Retweets

82
Likes
 
Magu anamuhitaji Nape kwasababu anahitaji kura za watu wa kusini.
Nape ndo anamuhitaji Magu. Nyie huwa mnasema CCM huwa inaiba kura. Sasa kama wanaweza kushinda kwa kuiba kura kwa nini wamuhitaji Nape?
Nape ndo anamuhitaji Magufuli.
 
Magufur Anauwezo wa kuwaengua kwenye mchakato wa kura za maoni 2020 na akampitisha mgombea namba2 na 2025 wakigombea tena kwenye kupitishwa na ccm ili wawe wagombea ubunge magufur ana wahengua tena , kwaiyo January na Nap wameliona ilo wangejifanya manunda ubunge wageusikia kwe Redio tu, ingebid wasubili mbaka 2030 magufur atakuwa ana nguvu tena, Maana 2025 kipind cha uchaguz magufur anakuwa bado Raisi na mwenyekiti wa chama.
 
Kwahio wameona DIAMOND anatrend sana wakaamua watafute kiki ya kumshusha..
 
WHO KNOWS? LABDA KAONA SANCTIONS ANAZOWEKEWA NI NGUMU AKAAMUA AENDE ILI ALEGEZE KITANZI....!!!!🤷‍♂🤷‍♂🤷‍♂
 
Kitendo cha Kaka Nape NNAUYE kuomba radhi kwa mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kimeonesha ukomavu wa Kisiasa wa Kaka Nnape na Ukomavu wa CCM. Kwakweli Nnape ni mwana ccm kindakindaki aliyepambania mabadiliko ndani ya Chama kwaajili ya maendeleo ya Taifa. Binafsi nilisikitishwa na uamuzi wa Nape kwenda kinyume na mwenyekiti wa Chama mwenye nia, hali na moyo wangu kukijenga Chama kwa maendeleo ya Taifa.
Nape, Mwigulu na Makamba ni watu muhimu sana kwa Chama na serikali kutokana na mioyo yao ya kizalendo, uchapakazi, ubunifu na maendeleo.
Tunapopambana kuifikia Dira ya maendeleo ya Taifa, 2025, hivi vichwa vitatu ni muhimu sana kwa Chama na serikali.
Naamini makosa waliyoyafanya, muda waliokaa benchi, wameelewa mtizamk, msimamo, nia na matarajio ya kocha mkuu katika kuliletea Taifa Maendeleo.
Uamuzi huu wa Leo alioufanya Nape mwana wa Nnauye ni pigo kwa vibaraka wa mabeberu na ushindi kwa Chama , serikali na Taifa.
Kijana hawa watatu, wanakifahamu Chama, serikali na nahitaji ya sasa ya Taifa.
Nawasihi msirudie makosa kwa kurubuniwa ili mlisaidie Taifa.
Hongera Nape, Hongera January, Hongera Mwigulu, Tuungane sasa kama Timu moja kwa maendeleo ya dhati.
Mheshimiwa Rais, nakuomba kwa dhati uwatumie zaidi hawa vijana ili kufanikisha malengo, mipango na mikakati yako , serikali na Taifa.
Nakupongeza Kocha na Mentor wangu JPM kwa kuwarejesha kundini washambuliaji wetu. Sasa ni total football kwa maendeleo ya Taifa.
 
Katika kinachoonekana ni kuipigia salute njaa baada ya kusota mitaani bila kazi ya kumfanya atembelee magari ya kifahari .

Nape ameanua kujisalimisha rasmi kwa yule anaye toa ridhiki yaani rais Magufuri na kuomba msamaha .Amakweli hakuna mwenye jeuri juu ya njaa.View attachment 1203613
Mpo kama wanne hivi hapa jf huwa nawadharau sana,!

Si juzi tu ulikuwa unamuona Nape ni mwokozi wako?
 
Siasa ni ngumu sana, hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu katika uwanja wa siasa, ngoja tuone busara ya Membe na comrade kinana katika hili pia, kubwa zaidi Rais kaonyesha ukomavu wa kisiasa na kiimani.

Hatuwezi mpima Kwa machache pia uchaguzi u karibu.Tabia ya MTU Asili.
Akiwasamehe wazee wa escrow, mashehe wa uhamsho,mkwe wa Lowasa,na wote wanaooza ndani mwaka wa NNE sasa ni rahisi kuamini hivo.
 
Back
Top Bottom