Huu msemo ni kwa Tanzania tu au unapply Duniani kote. Na huo urafiki au uadui ni kwa maslahi ya nini?Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu
Definitely dictators hawawezi kusahaulika!Lisu hatamsahau maishani ujue!
Msemo huu kuwa " hakuna adui wala rafiki wa kudumu kwenye siasa " ni wadunia nzima , urafiki na uadui unategemea tofauti na uungwaji mkono katika sera husikaHuu msemo ni kwa Tanzania tu au unapply Duniani kote. Na huo urafiki au uadui ni kwa maslahi ya nini?
Umemuelewa Spika Ndugai aliposema Mbowe ni mtiifu?!
Ujui siasa mbona mambo ya kawaida kabisa ayaPumbavu mwingine. Nape amruka kaka yake (Membe) kipumbavu kabisa. Hovyoo.
Hii pointi ya msingi sana japo inachomaHii inaonesha Tanzania tuna watu wa wanamna gani! Jinsi gani watu walivyo vigeugeu wasiyo jua wanacho simamamia na hao ndiyo viongozi wetu, dah! Nawaonea huruma sana mnao panga foleni kwenda kuwachagua hao wanao itwa viongozi.
Hapana chezea. Bila siasa Nape hawezi kuishi. Maana ni kilaza. Hakuna sehemu anaweza ajiriwa.Nimecheka sana pale Magu alipomuuliza Nape kipindi chote hiki ulikua umekosa amani eeeh ,Nape akaitikia sana sana Baba,hahah.
Ushamba wa mkazi mkuu wa ikuluNimeona Nape anatembea umbali mrefu sana ndani ya maeneo ya Ikulu.
Alishushiwa nje ya geti kuu la kuingia ikulu ?
Niliona mpaka anajifuta jasho kwa kutembea umbali mrefu.
Nimeona kama ametembea umbali mrefu sana.
Haaminiki ?
View attachment 1203928
DuuuuHapana chezea. Bila siasa Nape hawezi kuishi. Maana ni kilaza. Hakuna sehemu anaweza ajiriwa.
Hahah nimeanza kukubali kauli yako,hivi Nape alishawahi kuajiriwa sehemu nyingine yoyote ile ukiachana na UVCCM/CCM.Hapana chezea. Bila siasa Nape hawezi kuishi. Maana ni kilaza. Hakuna sehemu anaweza ajiriwa.
Usikute huyo kaka yake mwenyewe nae ameshawekwa kati kitambo tu anasubiri siku ya kutangazwa aende ikulu akapige picha akiomba msamaha kwa unyenyekevu huku akimuita Magu Baba,hahah.Pumbavu mwingine. Nape amruka kaka yake (Membe) kipumbavu kabisa. Hovyoo.