Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Hahah nimeanza kukubali kauli yako,hivi Nape alishawahi kuajiriwa sehemu nyingine yoyote ile ukiachana na UVCCM/CCM.
Yeye na Bashite hawawezi ajiriwa wala kujiajiri. Siasa ndo inayowaweka mjini.
 
Both had fake smiles! Aliyeomba msamaha hakumaanisha na aliyesamehe pia hakumaanisha. Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.
 
Kundi la shetani Luciferi
Kweli shetani lucifa hufurahia mafanikio ya muda mfupi,

Lucifa alipowatumia wayahudi kumuua Yesu alifurahi sana,

kimbembe ni pale Yesu kufa na kwenda kuzimu akamyanganya funguo lucifa, Siku ya tatu akapaa mbinguni, furaha ya Lucifer ilikoma ikabaki majuto, alinyongonyea mpaka kesho
 
Nape usisahau pia kwenda kumuomba msamaha Edward Ngoyai Lowassa [emoji41]
 
RIP Ruge Mutahaba, hili bandiko limenitia simanzi sana.

Nimekumbuka kuvamiwa kwa clouds Tv. Mpaka kifo cha Ruge,

Hakika watawala ni mawkala wa lucifer
 
Kuna mtu anateseka? Nape kasharudi kwao. Kuna kingine?
 
Hakuna cha well organized wala nini kwa mwanasiasa yeyote ambaye anategemea siasa Kama ajira lazima atafanya alichofanya nappe
 
UTOKA KUWA MPIGA ZUMARI MKUU NA MPIGA NGOMA WAKATI WA KAMPENI MPAKA KUWA KAMA "MYATIMA"we mean politics.
 
Alisikika mlevi mmoja toka mbagala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…