Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga


Cha ajabu hapo ni nini? Muhimu si ameomba Msamaha na amesamehewa hivyo anarudi Kundini rasmi? Unamshangaa Nape Kutembea Ikulu mbona hukumshangaa Rais wa Shelisheli ambaye aliamua Kuzurura Posta nzima hadi karibia na Mnazi Mmoja tena kwa Miguu tu wakati wa Mkutano wa SADC uliomalizika Siku si nyingi hapa nchini Tanzania? Waswahili bhana!
 
Nadhani hiyo ilikuwa adhabu ama kumdhalilisha, kwani kuondoka gari lake lilikuja mlangoni.
 
Malipo hapahapa duniani analipia bao la mkono alilowafunga watanzania kwa tiktaka.
 

Umeshajua ni kwanini hadi hivi sasa huna hata ' Like ' moja katika huu Uzi wako Ndugu?
 
Both had fake smiles! Aliyeomba msamaha hakumaanisha na aliyesamehe pia hakumaanisha. Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.

Amecheza nape mchezo mgumu sana akiingia kamati kuu sijui kama atampitisha mkulu
 
Juzi nilicomment kwenye Uzi flani nikawaambia Rais ana mamlaka makubwa na hilo liko wazi, wengi mliwananga akina ngeleja kuomba msamaha Leo nape kwenda wazi wazi, nawambia tena Rais ana mamlaka makubwa kumtukana na kumsengenya ni kosa kubwa sn
Wanafikiri Urais ni kama kazi yaU dj
 
Dah...kwake kila goti litapigwa. [emoji2960].(mabaharia 2:14:5)
 
Mkuu huo ni ushahidi tosha wa kuthibitisha tena kwamba ccm kumejaa WANAFIKI, MAJIZI, WAONGO, MAFISADI, WAHUNI ambao hawajali maslahi ya Taifa bali maslahi ya MATUMBO yao. Kumbuka kauli ya fisadi Kikwete kuhusu ccm, “CCM kuna mafisi”
Yote ndani ya ccm ni mafisi yanayoitafuna nchi yetu kwa kasi kubwa na KUIFILISI.


Issue ya wana CCM waomba 'msamaha' 1 yr kabla ya uchaguzi inafikirisha sana.....

Mtu akifikiria kujiajiri anapoteza usingizi saa 8 usiku.. duh
 
Hizi siasa za kibongo za kubadilika badilika kama kinyonga au wanasiasa kuhama vyama kama wachezaji wa mpira utaziona Tanzania tu,
Na ni kwasababu sisi wanachama hatuwaadabishi.
 
Hapo Targeted "GUSA KINUKE" na hata Nape sio kama yeye ndio aliyeomba kwenda kwa MAGU hapana nakataa,Watu wa TEETH ndio wamefanya hii kitu ili ionekane Membe peke yake ndio hajaomba msamaha ili ANKAL amfanyie FIGISU kuelekea 2020.
 
Mtaoamba sana ila kaenda kuomba msama, wala hahitajiki ila kae da kujibembeleza, hawa hawaaaminiki tena, wameshaanza kutika mmojammoja mafichoni bado eangapi sijui, acha jiwr awanyorishe
 
Wewe ndiyo atakaye tuma kama choo kwa buku saba.majority wa supporter wa opposition angalau wana life lakini % kubwa ya washsbiki wa Magu hawajielewi isipokuwa wale wachache sana wanaonufaika
Hivi kumshabikia dj na meshen town ndio kua na akili? Bavicha bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…