Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Nimeona Nape anatembea umbali mrefu sana ndani ya maeneo ya Ikulu.

Alishushiwa nje ya geti kuu la kuingia ikulu ?

Niliona mpaka anajifuta jasho kwa kutembea umbali mrefu.

Nimeona kama ametembea umbali mrefu sana.

Haaminiki ?
View attachment 1203928

Cha ajabu hapo ni nini? Muhimu si ameomba Msamaha na amesamehewa hivyo anarudi Kundini rasmi? Unamshangaa Nape Kutembea Ikulu mbona hukumshangaa Rais wa Shelisheli ambaye aliamua Kuzurura Posta nzima hadi karibia na Mnazi Mmoja tena kwa Miguu tu wakati wa Mkutano wa SADC uliomalizika Siku si nyingi hapa nchini Tanzania? Waswahili bhana!
 
Nimeona Nape anatembea umbali mrefu sana ndani ya maeneo ya Ikulu.

Alishushiwa nje ya geti kuu la kuingia ikulu ?

Niliona mpaka anajifuta jasho kwa kutembea umbali mrefu.

Nimeona kama ametembea umbali mrefu sana.

Haaminiki ?View attachment 1203928
Nadhani hiyo ilikuwa adhabu ama kumdhalilisha, kwani kuondoka gari lake lilikuja mlangoni.
 
*Nape Amerudi Kwenye* *Reli Sasa* .
Nijambo amabalo wana CCM wengi hawajalifurahia kuona *Nape Moses Nauye* Mbegu iliyo Kufa na kuoza sasa imeanza kuchipua.
Kifo chake kilisababishwa na kusema ukweli palipohitajika kusema ukweli wakati sio utamaduni wa chama cha *CCM* kusema ukweli kwa wanachama wa kawaida kazi yao ni kuisifu serikali na kukisifia chama tu.


Nape ameomba kwa kuikosoa serikali iliposhindwa kununua korosho. *Nape* kaomba msamaha kwa kushinikiza uchunguzi wa Makonda kuvamia kituo redio cha *Clouds* .


*Nape* kaomba msamaha kwa sauti iliyotengenezwa na *Makonda* kuwa naongea na Membe anamuita Mheshimiwa Rais Mshamba.


*Nape* anameomba msamaha kwakuwa alipotolewa bastola na MTU asiejulikana alisema hadharani kwamba aliipigania CCM ili ishinde mwaka 2015 .


Nape kaomba msamaha kwakuwa huonekana yupo karibu na Zito Kabwe na *Membe* hasa kwenye Picha.


Hivyo ndivo vilivyo muuwa Nape.
Mbegu inachupua sasa


Msamaha wa kinafiki wa *Nape* ni kuionyesha dunia kuwa ukisema ukweli *CCM* nikosa sasa ameomba msamaha kwa kuusimamia ukweli.Yeye na Rais wamemaliza kwakuwa Rais *Magufuli* sio MTU wa visasi na anafahamu kabisa *Nape* hajafanya kosa lolote na hajawahi kumkosea na kisiasa hawezi kupambana na hawa vijana ambao wao kesho yao inaweza kuwa nikubwa kuliko yake ya Leo ya kisiasa,ieleweke kuwa Rais amebakiza Miaka Sita yakuongoza kama atashinda 2020 *Nape* au *Makamba* , *Mwigulu* vijana hawa bado wao wana miaka 10 yakuja kuongoza nchi wakijaaliwa kupata Urais.


*Msamaha wa Nape* umemrudishia heshima yake ndani ya CCM ambayo wengi walitamani apotee wakiamini kupotea kwa Nape na Kina *Kinana* ndo kuipoteza CCM ya Zamani.


Wana *CCM* Siku zote huwa wanaombeana Mabaya wakiamini wenye vyeo hawastahili Siku wakitumbuliwa waio na vyeo na wao watapata nafasi na wenye vyeo wanawatumia wasio na *vyeo kama jukwaa la wao kuimbiwa nyimbo za sifa kusifiwa hata wanapo boronga.*


*Namuona *Nape* kesho* Akiwa kiongozi mkubwa mwenye ushawishi ndani ya chama na serikali maana anajua kusifia zaidi kuliko kukosoa sasa baada ya msamaha ni kusifia kwa kwenda mbele nani atamzuia tena. Mbegu itamea 2025 *Nape* hata kuwa Mbegu tena Atakua ni Mti kamili wenye Matunda.
*Hongera Nape umefanya* *maamuzi sahihi* kwa umri ulio nao haijalishi utaanguka Mara ngapi nilazima uamke maana nguvu na sababu unazo.
*Na
MwanafalsafaMweusi* .
Malipo hapahapa duniani analipia bao la mkono alilowafunga watanzania kwa tiktaka.
 
*Nape Amerudi Kwenye* *Reli Sasa* .
Nijambo amabalo wana CCM wengi hawajalifurahia kuona *Nape Moses Nauye* Mbegu iliyo Kufa na kuoza sasa imeanza kuchipua.
Kifo chake kilisababishwa na kusema ukweli palipohitajika kusema ukweli wakati sio utamaduni wa chama cha *CCM* kusema ukweli kwa wanachama wa kawaida kazi yao ni kuisifu serikali na kukisifia chama tu.


Nape ameomba kwa kuikosoa serikali iliposhindwa kununua korosho. *Nape* kaomba msamaha kwa kushinikiza uchunguzi wa Makonda kuvamia kituo redio cha *Clouds* .


*Nape* kaomba msamaha kwa sauti iliyotengenezwa na *Makonda* kuwa naongea na Membe anamuita Mheshimiwa Rais Mshamba.


*Nape* anameomba msamaha kwakuwa alipotolewa bastola na MTU asiejulikana alisema hadharani kwamba aliipigania CCM ili ishinde mwaka 2015 .


Nape kaomba msamaha kwakuwa huonekana yupo karibu na Zito Kabwe na *Membe* hasa kwenye Picha.


Hivyo ndivo vilivyo muuwa Nape.
Mbegu inachupua sasa


Msamaha wa kinafiki wa *Nape* ni kuionyesha dunia kuwa ukisema ukweli *CCM* nikosa sasa ameomba msamaha kwa kuusimamia ukweli.Yeye na Rais wamemaliza kwakuwa Rais *Magufuli* sio MTU wa visasi na anafahamu kabisa *Nape* hajafanya kosa lolote na hajawahi kumkosea na kisiasa hawezi kupambana na hawa vijana ambao wao kesho yao inaweza kuwa nikubwa kuliko yake ya Leo ya kisiasa,ieleweke kuwa Rais amebakiza Miaka Sita yakuongoza kama atashinda 2020 *Nape* au *Makamba* , *Mwigulu* vijana hawa bado wao wana miaka 10 yakuja kuongoza nchi wakijaaliwa kupata Urais.


*Msamaha wa Nape* umemrudishia heshima yake ndani ya CCM ambayo wengi walitamani apotee wakiamini kupotea kwa Nape na Kina *Kinana* ndo kuipoteza CCM ya Zamani.


Wana *CCM* Siku zote huwa wanaombeana Mabaya wakiamini wenye vyeo hawastahili Siku wakitumbuliwa waio na vyeo na wao watapata nafasi na wenye vyeo wanawatumia wasio na *vyeo kama jukwaa la wao kuimbiwa nyimbo za sifa kusifiwa hata wanapo boronga.*


*Namuona *Nape* kesho* Akiwa kiongozi mkubwa mwenye ushawishi ndani ya chama na serikali maana anajua kusifia zaidi kuliko kukosoa sasa baada ya msamaha ni kusifia kwa kwenda mbele nani atamzuia tena. Mbegu itamea 2025 *Nape* hata kuwa Mbegu tena Atakua ni Mti kamili wenye Matunda.
*Hongera Nape umefanya* *maamuzi sahihi* kwa umri ulio nao haijalishi utaanguka Mara ngapi nilazima uamke maana nguvu na sababu unazo.
*Na
MwanafalsafaMweusi* .

Umeshajua ni kwanini hadi hivi sasa huna hata ' Like ' moja katika huu Uzi wako Ndugu?
 
Both had fake smiles! Aliyeomba msamaha hakumaanisha na aliyesamehe pia hakumaanisha. Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.

Amecheza nape mchezo mgumu sana akiingia kamati kuu sijui kama atampitisha mkulu
 
Juzi nilicomment kwenye Uzi flani nikawaambia Rais ana mamlaka makubwa na hilo liko wazi, wengi mliwananga akina ngeleja kuomba msamaha Leo nape kwenda wazi wazi, nawambia tena Rais ana mamlaka makubwa kumtukana na kumsengenya ni kosa kubwa sn
Wanafikiri Urais ni kama kazi yaU dj
 
Dah...kwake kila goti litapigwa. [emoji2960].(mabaharia 2:14:5)
 
Mkuu huo ni ushahidi tosha wa kuthibitisha tena kwamba ccm kumejaa WANAFIKI, MAJIZI, WAONGO, MAFISADI, WAHUNI ambao hawajali maslahi ya Taifa bali maslahi ya MATUMBO yao. Kumbuka kauli ya fisadi Kikwete kuhusu ccm, “CCM kuna mafisi”
Yote ndani ya ccm ni mafisi yanayoitafuna nchi yetu kwa kasi kubwa na KUIFILISI.


Issue ya wana CCM waomba 'msamaha' 1 yr kabla ya uchaguzi inafikirisha sana.....

Mtu akifikiria kujiajiri anapoteza usingizi saa 8 usiku.. duh
 
Hizi siasa za kibongo za kubadilika badilika kama kinyonga au wanasiasa kuhama vyama kama wachezaji wa mpira utaziona Tanzania tu,
Na ni kwasababu sisi wanachama hatuwaadabishi.
 
Hapo Targeted "GUSA KINUKE" na hata Nape sio kama yeye ndio aliyeomba kwenda kwa MAGU hapana nakataa,Watu wa TEETH ndio wamefanya hii kitu ili ionekane Membe peke yake ndio hajaomba msamaha ili ANKAL amfanyie FIGISU kuelekea 2020.
 
Magu anamuhitaji Nape kwasababu anahitaji kura za watu wa kusini, na Nape nae anamuhitaji Magu ili ajiweke katika nafasi nzuri ya jina lake kupita kama mgombea 2020.

In short,kila mtu hapo anamuhitaji mwingine kuelekea 2020.

Ni kweli tunajua CCM hawategemei sanduku la kura kushinda, ila ni ukweli pia wangependa zaidi washinde kupitia sanduku la kura.
Mtaoamba sana ila kaenda kuomba msama, wala hahitajiki ila kae da kujibembeleza, hawa hawaaaminiki tena, wameshaanza kutika mmojammoja mafichoni bado eangapi sijui, acha jiwr awanyorishe
 
Wewe ndiyo atakaye tuma kama choo kwa buku saba.majority wa supporter wa opposition angalau wana life lakini % kubwa ya washsbiki wa Magu hawajielewi isipokuwa wale wachache sana wanaonufaika
Hivi kumshabikia dj na meshen town ndio kua na akili? Bavicha bana!
 
Back
Top Bottom