Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Hii inaonyesha wewe jinsi gani unavyo penda mabifu mifarakano na utengano. Huwezi jenga taifa kama hamuwlwani
Hii inaonesha Tanzania tuna watu wa wanamna gani! Jinsi gani watu walivyo vigeugeu wasiyo jua wanacho simamamia na hao ndiyo viongozi wetu, dah! Nawaonea huruma sana mnao panga foleni kwenda kuwachagua hao wanao itwa viongozi.
 
Hiyo staili ya kutembezwa umbali mrefu pale mjengoni inaitwa babu seya.
Hufanyiwa wale wote ambao huenda kusema asante kwa wema ulionitendea mimi nisiye stahili au samahani sana kwa kukukwaza bwana mkubwa, mimi lofa.
Hiyo staili hakuna muwekezaji wa matrilioni anaweza fanyiwa hata iweje.
 
Hizi ni "bidhaa mbovu". "Damaged Goods"

Tunaposema CCM ni mali ya Mwenyekiti watu hawataki kuamini.

Hawa 'mali mbovu' walipo piima upepo kila sehemu wakaona unavuma kuelekea sehemu moja tu.

Imelazimu wabwage manyanga.

Amebaki Membe, naye siku yake haipo mbali.
 
Kweli maendeleo hayana chama ila yana kisasi dogo ameogopa kama alimtuma Mke Wa mwenye heri Nyerere hakuambulia kitu
 

Kufa na tililioni zako.... who gives a fwaa
 
Sinema hii ila Director wake ni BOMU. Eti Nape kaenda kuomba samahani na kuna mtu alikuwa anamrekodi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£

 
Mbona umeumia sana?
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]eeeeh..
Is this even news..
Duuuh..leme say,its okay[emoji20][emoji20]
 
Reactions: BAK

 
hahaa, Magufuli kasema Nape alimtafuta sana, alimtumia watu kibao kuanzia akina Mangula hadi mke wa Nyerere, kutuma msg usiku wa saa nane ila akawa kimya tu
Na tusi kubwa lilikua "Mshamba" limemgharimu yote hayo..

Bado Watu mpaka leo wanashindwa kung'amua aliyeamuru kushambuliwa Lissu.

Mungu aliyeumba Dunia na vyote vilivyomo kumuomba Msamaha ni bure tena huhitaji wapambe na vyombo vya habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…