Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Huyo kwa uongo anajulikana AMEKUBUHU!
mbona unamjua sana kihivyo? Ama??
Kajamaa kanajifanya kajuaji sana, mwish0 wake ndi0 hu0!!!hahaa, Magufuli kasema Nape alimtafuta sana, alimtumia watu kibao kuanzia akina Mangula hadi mke wa Nyerere, kutuma msg usiku wa saa nane ila akawa kimya tu
Acha ujinga weye! Uongo wote anaousema si uko hadharani!!!!? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Comrade hasikiki kabisa mmh CCM yajayo yanafurahisha
Ngeleja, January, Babaake na akina nanihii lini nao wanazuka Ikulu kumuomba samahani bugiri? 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hapo 2020.Bao lamkono limerudi
tofautisha ushamba na mamlaka.Lakini unajisikiaje mshamba anavyowapeleka puta?
Hivi hapo nani ni mshamba?
Comrade hasikiki kabisa mmh CCM yajayo yanafurahisha
Hii style ya siasa za umafia aliifanya Mobutu lakini mwisho wake ulikuwa mbaya sana.Wamemshikisha ukuta sa hivi,full kumpumulia full handas
Kuna sehemu kubwa ya kuweka magari, na sio mwendo hata wa dakika tano. Wewe ndiye hujafika na hupajui. La pili kwa nini yale matembezi yote yawekwe kwenye video, inamaanisha nini.Mnapafahamu ikulu? Mnadhani ni kama makwenu kwamba wewe unaamua mgeni aje mpaka popote? Mlishawahi kuingia nyinyi mkaenda na magari? Au ndo zile za kwenu ni kusupport tuuu hata upuuzi.
Kuna sehemu kubwa ya kuweka magari, na sio mwendo hata wa dakika tano. Wewe ndiye hujafika na hupajui. La pili kwa nini yale matembezi yote yawekwe kwenye video, inamaanisha nini.
Jee ulishawahi kuona video ya watu kutembea hivyo kuwekwa wazi na ikulu?
Ligi ya Mtaani kachemka kaomba pow mwenyewe
Ova