Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Hili laweza kufanyika hivi lakini moyoni kila mtu kati yao analo lake jambo, either mtu anakwepa kusulubiwa au anaomba yaishe maisha yaende, ila kunaweza kukawa na timing maana adui huwa hataki ujue kuwa ni adui wako. Swali la kufikirisha: Je JIWE ASINGEDUKUA SAUTI HALI ILIKUWEJE HUKO MBELENI? KWA MAANA NYINGINE JIWE ASINGEJUA ANAVYOSEMWA, HAO NDIO WALIO DUKULIWA SAUTI NA JE, WENGINE AMBAO HAWAJAONGEA WANAYAPI MOYONI MWAO.
 
Yani vijana wa chadema akiliza kama za bata sasa wanampenda Tundu lissu wasije wakashangaa siku moja wanamuona ikulu na magufur wapinzan wa Tanzania wengi ni waigizaji wanaigiza Siasa.
 
Naona taasisi ya uraisinashuahwa hashi, hii haikupaswa kuongelewa na rais kwa public
 
Swali fikirishi je baba huwa hawakosei watoto wake? je kuna wababa huomba msamaha kwa watoto wao ''when it comes to customer caring rule number one says a customer is always right. rule number two says some times a customer is wrong and that if a customer is wrong you have to refer to number one
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…