Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

Mmmmh let us just wait and see...kuna watu huwa hawabadiliki
[/QUO


HOW DICTATORS COME TO POWER AND ATTAIN GLORIFICATION BY PEOPLE

C&P by Hali Aquino, I have a graduate degree in psychology and a degree in international politics

THE DICTATORS

They Emerge in a Social and Economic Context


THERE ARE NO DICTATORS WITHOUT FOLLOWERS

They Are Charismatic

They Write Manifestos

They Teach

They Appear Sympathetic Toward Their Own Kind

They Inspire Fear

THE FOLLOWERS

They Are Not Us

They Are Distracted and Busy

They Are Vulnerable

They Want A Hero They Can Believe In

They Are Fearful of Others and Prone to Hate
 
Hii drama inahitaji ujitoe ufahamu kweli kweli! Hivi ukiambiwa mshamba kwa mfano, then ukaambiwa sorry! Inanaana unakuwa sio mshamba tena!
 
Ametambua psychology ya ku-deal na dictator. Dictators want glorification! Kwa mazingira ya tanzania na njaa za CCM , unafiki wa CCM, mauaji ya CCM, utekeji wa CCM, sandarusi za CCM, kama huna roho ngumu lazima uta fall down as Nape , Makamba and Ngeleja. Bado makamba baba ba Kinana, sijui Membe!


HOW DICTATORS COME TO POWER AND ATTAIN GLORIFICATION BY PEOPLE


THE DICTATORS


They Emerge in a Social and Economic Context


THERE ARE NO DICTATORS WITHOUT FOLLOWERS

They Are Charismatic

They Write Manifestos

They Teach

They Appear Sympathetic Toward Their Own Kind

They Inspire Fear

THE FOLLOWERS

They Are Not Us

They Are Distracted and Busy

They Are Vulnerable

They Want A Hero They Can Believe In

They Are Fearful of Others and Prone to Hate

johnthebaptist Salary Slip
Hizi sifa zinamlingania sana Mwenyekiti wa chadema!
 
Chifu mwombe msamaha mkuu wa nchi kwa kumwita mnafiki kwa sababu naye ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine. Hii ni kumteta Rais vibaya kama walivyofanya akina Nape.
Dr Magufuli siyo mwanasiasa ni " Mtumishi" wa umma.......wapendwa wananielewa hapa!
 
Lisu... mikataba mibovu ya madini tunaibiwa
Magu kazuia makontena..
Lissu... Magu amefanya maamuzi ya kijinga kabisa wazungu watatushitaki Miga.
Yah Lissu ana misimamo sana...
Mbowe, amesimamia analoliamini. Lisu pamoja na kupigwa risasi na aliyempiga risasi anajulikana, bado amesimama wima!
 
Aisee,.kama kijimuvi flani hivi,naona hakuruhusiwa kabisa kuingia na gari ili tuone anavyojipangusa pangusa vimacho vyake.
 
Hivi upinzani wanajua kuwa ccm inazo tekniki kibao za kuzima upinzani kwa kutumia mamluki wake smarti kama wazee na vijana wanauwezo wa ku side na opposition huku wakiwa kwao dk za nyongeza wa mchezo ukiwa umewasajili najifunga huku wakionyesha kujaribu kuokoa . Twende na BM 2020 mtanyosha maelezo
Tunza comment hii
 
Back
Top Bottom