Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

"Kuludi"ndio nini?,swine!
 
Kitendo cha Nape kuomba msamaha hakuna mslahi kwa taifa zaidi ya chama chake Na yeye binafsi.wanasiasa muda mwingi wanaongozwa Na maslahi binafsi...

Ndio kazi yao na kula yao ilipo so wafanyeje sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiwaendekeza Hawa utapata tabu sana wewe fanya yako ya kutafuta pesa tu
 
Kww nini misamaha ya mh inatangazwa hadharani? navyofaham msamaha ni siri kati ya muomba msamaha na mtoa msamaha
Isipotangazwa hadharani wakati matusi yametolewa hadharani inakua haileti maana na vilevile husaidia kuzuia propaganda.
 
Rais kama kawaida awasamehe, lakn awe makini na wala asiwaamini tena, kinga ni bora kuliko tiba, once a traitor will always be. Hawa vijana kuna jambo wanatafuta na hapa duniani RAIS haheshimiwi tu pale unapoona unahitaji kitu ama umepoteza kitu. Hence lazima kuwa nao mbali kama jua na ardhi. I have spoken
 
Ni muda mwafaka kwa Tindu Lissu naye kuomba msamaha kwa yote aliyowahi kutamka dhidi ya Mh. Raisi na serikali yake kwa faida na maslahi mapana ya nchi yetu; kufanya hivyo kutamuwezesha Mh. Raisi kufanya kazi na vyama vyote kwa masikilizano kwa faida ya Taifa la Tanzania.
 
Huo msamaha unahusu kitu gani hasa, wale walogawa nyumba za serikali kama njugu wao walishaomba msamaha?
 

Huwa nawashangaa sana watu kama nyie. Mnawaza sana kuhusu half empty cup of coffee than half full cup of coffee. This attitude reflects your own frustrations in your personal lives. It’s better that you develop the art of positive thinking. Dunia imebadilika sana. Hizo Systems ndizo watu huzilinda kwa manufaa yao binafsi.
 
Nawaonea huruma wakulima wa korosho sasa, maana nape sioni kama atawapigania tena.
 
HUYUUUU INAONEKANA NDIE ALIKUWA KIONGOZI WA HILI GENGE NDIO MAANA NA MA CAMERA.TUMEMWEKEA KABISAA ASIJE TULETEA DHARAU ....ALLAH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…