Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

If you can't beat join him
 

We unaona kuliko yeye? Amepima bila hao hawezi vuka mto .uliona wapi msamaha mbele ya camera
 
CDM inaingiaje hapo?Mambo ya CCM pambaneni na hali zenu huko huko CCM!
Magufuli akitoka madarakani ndio atajua wangapi walikuwa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa!
Ni wanaCCM wengi tu huko faragha wanamnanga ila sema hawajabainika!
 
Kweli kabisa. Maana ameweza kumtoa January uwaziri. Asingeshindwa kumkata jina 2020.
 
acha awanyooshe na kuwadhalilisha walipiga bao la mkono sasa mkono umepata mimba walele mimba hiyoo.

mpka amalize awamu yake wataongea lugha zote.
 
Nape ndo anamuhitaji Magu. Nyie huwa mnasema CCM huwa inaiba kura. Sasa kama wanaweza kushinda kwa kuiba kura kwa nini wamuhitaji Nape?
Nape ndo anamuhitaji Magufuli.
Kuiba kuna watu maalumu si kila MTU.Angekuwa awahitaji asingewasamehe.Uchaguzi upo karibuni soon pesa zitaanza kuonekana mtaani msahau shida zetu.Usicheze na mwanasiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…