Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapafahamu ikulu? Mnadhani ni kama makwenu kwamba wewe unaamua mgeni aje mpaka popote? Mlishawahi kuingia nyinyi mkaenda na magari? Au ndo zile za kwenu ni kusupport tuuu hata upuuzi.Nadhani hiyo ilikuwa adhabu ama kumdhalilisha, kwani kuondoka gari lake lilikuja mlangoni.
Mwanadamu akikuinua atakushusha tuu[emoji23][emoji23][emoji23] Ile ni kumdhalilisha kijana na kumuonesha kuwa Yajayo yanafurahishaa..Cha ajabu hapo ni nini? Muhimu si ameomba Msamaha na amesamehewa hivyo anarudi Kundini rasmi? Unamshangaa Nape Kutembea Ikulu mbona hukumshangaa Rais wa Shelisheli ambaye aliamua Kuzurura Posta nzima hadi karibia na Mnazi Mmoja tena kwa Miguu tu wakati wa Mkutano wa SADC uliomalizika Siku si nyingi hapa nchini Tanzania? Waswahili bhana!
Hahahhaa Jasusi hawezi kumpigia Goti NJUKA.BCM akipiga goti naacha kuingia Jf
Gari aliacha mapokeziHaaminiki ?
Nikijenga picha na ulichokieleza ninacheka sana.BCM akipiga goti naacha kuingia Jf
Hivi Kinana aliyesema kachanganyikiwa si ndio inabidi aje huku anatembea kwa magoti kabisa au?Bado Lisu.
Yule atatembea kwa Tumbo..[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi Kinana aliyesema kachanganyikiwa si ndio inabidi aje huku anatembea kwa magoti kabisa au?