Uchaguzi 2020 Nape Nnauye: Maamuzi yanafanywa na wapiga Kura

Uchaguzi 2020 Nape Nnauye: Maamuzi yanafanywa na wapiga Kura

Tapeli la kisiasa mala goli la mkono mala maamzi ni ya wanachi tuelewe lipi?
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!
You are empty headed! Ya Kenyetta ilikuwa vitisho?
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!

NDIO UMETULETEA GOLI LA MKONO HAPA ??

Nape Nnauye: Maamuzi yanafanywa na wapiga Kura


Zawadi yako hii
 

Attachments

  • Magufuli wa 2020.mp4
    2.5 MB
Bangi ni mbaya ujue...inakaa kichwani miaka saba.

Kama huko Jalalani ulikosoma ulikuwa unalipuliza basi ujue bado halijaisha.

Huyu anayeitwa maslahi ya ukata na Amerika ni nani??
Wafuasi wa amustadamu mna shida kubwa sana, mlizaliwa wapi sijui
Mkiweza kupunguza jazba itawasaidia sana
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!

Na anayepita bila kupingwa - bila kuwa na mpinzani wala kupigiwa kura inakuwaje wananchi ndio wamemchagua? Achana na sheria, bali zingatia demokrasia ya kweli.
 
Nape amesahau haraka alivyotolewa Bastola na kuambiwa hutazungumza na waandishi wa habari.......bahati nzuri jiwe ameshamgusa kila mtu popote alipo ndani ya Nchi hii
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!
Hembu maneno haya yaweke kinyume chake hayawezi pia kuleta maana nyingine kuwa wapiga kura ndo wenye maamuzi na hizi kelele za ICC tusizipuuze maana Mara nyingi mtu anaweza kusema mkamuuza kuna siku atatenda kweli kama wapiga kura watakuwa wameamua
 
Watu wanalilia na kuimba Mahakama kutokana na neno hilo hilo alilolisema kuwa maamuz hufanywa na wananchi matokeo yake yamefanywa na polis na kikundi cha kigaid Au hajui kuwa kuna wilaya nyingi hakutafanyika Uchaguzi wa wabunge? Hajui kuwa kuna wilaya nyingi hakutafanyika Uchaguzi wa madiwani? Sasa hayo maamuz yamefanywa na wananchi?
Ndiyo wananchi wameamua kumtisha bila kupingwa! Sasa kama wanasaccos wameshindwa kuweka mgombea?
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!
Naona mmeshaanza kupiga magoti na kulia lia hovyo.
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!

Huu ndio ukweli wenyewe!
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!
Hivi una hakika na hiki ulichokiandika kweli ulikuwa hujavuta ugoro bila kula?
 
Huyu kiboko yake ni Bashite! Alijifanya kumgusa akafurushwa, akabwabwaja, akatishiwa bastola na leo kaishia kujikomba!
Alitembezwa kwa miguu ikulu huyu,full kudhalilishwa.View attachment 1585172
[/QUOTE]
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!
Mzee wa bao la mkono. Endelea nape humo, jinga kabisa. Hakuna mtu hovyo kigeugeu, mchumia tumbo kama NAPE. This guy is so bogus which makes me wonder how he even got into politics.

Ila CCM unafaa sana ukitolewa bongo na kuwekewa mavi kichwani kama ya NAPE
 
Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.

Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!

Kwa Tanzania maamuzi ya Kura hayafanywi na WAPIGA KURA baali yanafanywa na Hawa wafuatao:
1. Tume ya Uchaguzi isiyo Huru(NEC).
2. MSAJILI WA VYAMA VA SIASA.
3. POLICCM.
4. TISS(UWT).
5. CCM(Chama Twawala).
Watanzania hata wakijitokeza kwa mamilioni kupiga kura ya mabadiliko, bado hao jamaa 5 ndo watahakikisha Nani anachaguliwa!
What a shame??
 
Kuna zoezi linafanywa na ccm ktk nyumba za watu kwa kuandikisha majina ya watu ktk nyumba hizo! Upinzani kuweni makini kuna mchezo mchafu unachezwa!
 
Back
Top Bottom