Walipokutolea bastola ulinyong'onyea kama katoto leo umesahau? Bashite alikukunja ukaloa leo umesahau ndugu nape we ni mwanaume hata lissu akichua nchi utaishi bora zaidi kuliko SASA mnajua hata were binafsi haupendi Maisha ya kujikombakomba ila ni mfumo BORA UKAE KIMYAUtotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.
Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!
Huyu boya naye hana mvuto tenaUtotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.
Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!
Ukubwani ukiona mtu analisema jambo fulani jua kaanza kutishika.Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.
Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!
Maamuzi hapa Tanzania hufanywa na NEC na hakuna wa kupinga hata kama ushahidi uliotukuka upo, sisi wananchi tunalambishwa na kupakwa mchuzi kwenye mdomo tuonekane tumekula.Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto.
Kura na maamuzi yanafanywa na watanzania sio mahakama ya kimataifa ya Kesi za Jinai!