Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Za ndaani kabisa ni kwamba Nape na January pamoja na wabunge 15 wa CCM hawatarudi Tena bungeni hata kama watashinda kura za maoni na kupitishwa na wajumbe,wakiwamo pia mbunge wa Sumbawanga Mjini, Mbunge wa Chato, mbunge wa Kilolo, mbunge wa Kigoma Mjini na aliyewahi kuwa spika hawatarudi kabisa hata iweje
Mfumo wa utawala wa sasa umewakataa!
Ushauri wangu nendeni upinzani mapema kabla hamjavuliwa nguo CCM sio mama yenu
Mfumo wa utawala wa sasa umewakataa!
Ushauri wangu nendeni upinzani mapema kabla hamjavuliwa nguo CCM sio mama yenu