Nape Nnauye: Nahisi Mashabiki wa Kiba ndio waliokuwa wakipinga Diamond kupewa Bendera ya Tanzania

Nape Nnauye: Nahisi Mashabiki wa Kiba ndio waliokuwa wakipinga Diamond kupewa Bendera ya Tanzania

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Waziri wa sanaa na michezo Nape Nnauye amesema anahisi mashabiki wa upande wa Ali Kiba ndio walikuwa wakiponda kuhusu Diamond kupewa bendera kwa sababu kumekuwa na uhasama na chuki kati ya pande hizo mbili, yeye binafsi amedai hana tatizo na msanii yoyote kati ya hao wawili na wamekuwa marafiki zake kabla hata hajawa waziri
 
Waziri wa sanaa na michezo Nape Nnauye amesema anahisi mashabiki wa upande wa Ali Kiba ndio walikuwa wakiponda kuhusu Diamond kupewa bendera kwa sababu kumekuwa na uhasama na chuki kati ya pande hizo mbili, yeye binafsi amedai hana tatizo na msanii yoyote kati ya hao wawili na wamekuwa marafiki zake kabla hata hajawa waziri

Huyu nae hana kazi za kufanya hivi unaweza kupata mda wa kujadili ujinga kama huu..Waziri!!hata katibu mkuu wake sio level yake...Huyu jamaa anastahili kuendelea kuwa msemaji wa chama ndo inamfaa
 
Sasa hayo yote yalikujaje , alitakiwa ongelea suala kutoa bendera , mbona wenzake waliongea vizur tu. Huo ndio uchochez na kuongeza uhasama kati ya kikundi flan na kikundi flan.
 
With a good nip and tuck and always a sense of humor bahaa
 
Hivi kumbe Kuna WATU walianza kupinga diamond kupewa bendera. Nimepitwa na hizo habari.. Mambo mengi siku hizi yote maamazing
 
'Hana tatizo na hao wasanii?'
hilo nalo ni tatizo wazir kuongozwa na mihemuko ya kishabiki
 
Back
Top Bottom